Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Amesema nani mpuuzi wewe. Yaani kufanya interview na radio maria za USA ndio imekuwa miujiza. Mbona hata Flora Mbasha walifanya interview na VOA inayosikika zaidi kuliko hiyo ya Indianapolis.Halafu kuongea na Minority Leader wa Jimbo ni kitu kidogo sana. Huyo kiongozi sio popular. Chadema mnataka kutuaminisha kuwa Slaa ni kiongozi bora wa Africa. Hivyo na ile skendo yake ya kuchukua wake za watu wakiisikia huko watamtimua kama mwrnda kichaa. Kwa kuwa huko kiongozi lazima aee na maadili binafsi ndipo akubalike.
haha...Maccm ni majinga km wale wadudu km nyoka wasio na macho wala sumu...Local radio and Tv station, au hata Localize contents ktk websites ndio most effective sphere ya kuwafikia watu.Dr. kahojina na nyingi sana.
Sijui unajisifu nini hapa...........Hata radio maria yenyewe si mzaha km unavyofiki..ungejua idadi wa wakatoliki tuu inashindana na waislam...sasa km unaona mzaha .....hutatofuatiana na JK alivyoshindwa adabisha serikali yake kuheshimu kanisa catholic.