the hero man
Member
- Oct 1, 2013
- 65
- 10
Wanajamvi;
Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa
imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na
jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye
mitandao yao ya kijamii.
Angalia link hapo chini;
Siasa
254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of
the University of Samford-USA.
It was really a Stunning Speech.
God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better
Tanzania.Together we Can.
kaka yangu Dr Slaa nakukubali sana.
Aisee hii speech ya Dr Slaa ni noma! ningekua na mda ningeitafasiri kwa kiswahili ili kila mtanzania aisome
kweli nilimpa kura yangu 2010 ki Halali kabisa
hata nikiweka siasa pembeni Dr ni great thinker wa ukweli
kwa wazalendo wa kweli na watu wenye mapenzi mema na nchi yetu huyu ndio Rais wetu 2015