Recent content by kabas

  1. kabas

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huyu jamaa ni chizi aisee. Tushawahi kuingia Kahama saa mbili na nusu asbh
  2. kabas

    Ladies mkuje hapa tuseme jambo

    Sababu zipo mbili. 01. Dini zote kubwa zinakubaliana kua Mwanamke alikuja kumpa faraja na usaidizi Mwanaume. Kwa maana ingine mwanamke ni pambo ndani ya nyumba na Mume hujisikia fahari kua na mapambo mengi. 02. Mwanamke ndo chanzo cha uzazi na kuendeleza ukoo, hivyo lazima ujue unaongeza ukoo...
  3. kabas

    Je, ni sawa kuoa na kuishi kwenu na mke wako?

    Kaa na Wazee wako brother. Na kama mke hataki, basi mwache aende maana wapo watakaokubali. Mueleweshe Mke umuhimu wa wewe kuwepo hapo, kisha uwaeleweshe wazazi namna nzuri ya kuishi na mkwe wao. Mwenyezi Mungu akikupa uhai mrefu hata wewe utakua Mzee, je ungependa wanao wakukimbie?
  4. kabas

    Inachukuwa muda gani kupata mafao ya aliyefariki kutoka PSSSF?

    Ila Mkuu ukishapata hizo hela, chukua sehem umtolee sadakha Marehem Mama. Unaweza ukakarabati jengo la ibada, ama ukanunua wheelchair ukapeleka mahospitalini zisaidie wagonjwa, Marehem wanahitaji dua. Na dua ya mtt kwa mzazi ni bora zaidi.
  5. kabas

    Baada ya kukutana naye kimwili amebadilika sana

    Backups on the way, ETA 60sec,
  6. kabas

    Trapped to a married man

    Ndoa ni jambo ni mahusiano imara yanayotakiwa kisimama katika msingi wa upendo, amani, na kujaliana. Hujatueleza kuhusu kama dini ya huyo mume wa mtu inaruhusu ukewenza, kama dini inaruhusu kunakua hakuna tatizo zaidi tu sioni haja ya yeye kwanini aifiche na kuikimbia familia yake. Lakini kama...
  7. kabas

    Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

    Nenda bank ingine waununue huo mkopo wa NMB. Hapo huchomoki
  8. kabas

    Kati ya Professor na Dr (phD) nani zaidi

    Iko hi I Degree moja ni Bachelor Degree Degree ya pili ni Masters Degree (Degree ya umahiri) Degree ya tatu ni PhD ( Daktari wa Falsafa) Then hapa hakuna tena degree,...kuna machapisho. Kunakua na idadi maalumu na muda maalum mtu mwenye PhD akiandika machapisho ya kitaaluma anaitwa Associate...
  9. kabas

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Delta 3 this is delta1,....delta 4 on your way ETA 60seconds over Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kabas

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Best story ever Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kabas

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Mkuu hebu ntumie link
  12. kabas

    Am a Civil Engineer Looking for a Job

    Well said Mkuu
Back
Top Bottom