NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Kuna mahali nilikaa tukabishana hawa wasomi wawili professor na Dr ni yupi msomi zaidi na ni yupi mtaalamu zaidi na yupi senior zaidi?
Nimeuliza hivyo maana nimeshamuona professor mwenye master degree lakini hana PhD kwenye masomo ya education.
Naomba nieleweshwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuliza hivyo maana nimeshamuona professor mwenye master degree lakini hana PhD kwenye masomo ya education.
Naomba nieleweshwe.
Sent using Jamii Forums mobile app