Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Asante mkuu,

Sijasema Niko kwenye Hali hii kwa miezi 8 , namaanisha nisipofanya chochote watashikilia mshahara kwa miezi iyo 8,
Kingine bado makato mapya hayajaingizwa na vile vile Kuna tofauti kabisa ya Deni la bodi ambalo lipo kwenye fomu na hili Deni ambalo wameweka kwenye akaunti
Sasa mbona sikuelewi?!

Awali ulisema hiyo scanerio imetokea February... almost 6 months ago!

Hapa unasema Watashikilia mshahara kwa zaidi ya miezi 8!

The question is: Wameshaanza kushikilia tangu hiyo issue itokee?!

Kama jibu ni NDIYO, basi hapo ndipo ilipo hoja yangu kwamba ule mkopo wako halali wa NMB + Loand Board, itakuwa umeshalipa almost 6 installments bila kujali watashikilia kwa miezi mingapi!

Na kama itakuwa umeshalipa 6 installments, ina maana unaweza ku-qualify for a top-up! Ndo maana nikasema hapo hapo NMB unaweza ku-apply for top up ili ile excess amount utumie ku-clear deni la 4,234,000/= ili hatimae withholding itolewe kutoka kwenye akaunti yako!

Na ndipo pia nikasema, kama NMB watagoma, I still believe hiyo 4,234,000 haiwezi kutokea kwenye salary slip (unless you say otherwise kwa sababu unazipata hizo salary slips)!

Na kwavile hiyo 4,234,000 haiwezi kutokea kwenye salary slip (otherwise wasinge-hold account), ina maana you still have a clean salary slip unayoweza kuitumia kwenye bank nyingine kuomba mkopo utakaokusaidia ku-clear deni lako ili akaunti yako NMB iwe released!

amu hapo juu kanithibitishia kwamba tuna Credit Bureau na ipo effective, but I think -4,234,000 haiwezi kuwa reflected huko.

But all in all, kama walisema watashikilia for almost 8 months... na miezi 6 inakaribia kuisha, sasa kama ulivumilia miezi 6 yote hiyo, kwanini usivumilie hiyo miezi michache iliyobaki?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Sounds good manake dah, zamani ilikuwa uhuni mtupu, na kuna issue moja sijui kama wameshaifanyia kazi! Hii issue ilinifanya niache kazi mahali nikiwa nimefanya chini ya miezi 2... ilikuwa ni Business Consultacy Firm, and I loved the job!

Baada ya jamaa kuanza kuniamini, siku ya siku nikaletewa project ya mteja aliyekuwa anataka mkopo wa 200M. Baada ya mteja kumtaka aniletee docs, akaleta zote including BOQ pamoja na NMB Statement ambayo baada ya kuifanyia valuation, jamaa alistahili kupata mkopo wa around 60M na sio hiyo 200M aliyotaka!

Nikapiga chini!

Heee! Saa chache baadae Bosi wa Kitengo si anakuja na forged bank statement yenye turnover ya kutosha inayompa the same jamaa sifa ya kukopa hata 300M!! Baada ya kuchunguza, nikagundua ndiyo michezo yao, na mbaya zaidi, lending banks zilikuwa wala hazifanyi due dilligence ya kutosha ku-verify bank statements zinazopelekwa kwao kutoka benki nyingine ni credible!!

Yaani walichokuwa wanafanya, wakiona Bank Stamp na "signature", tayari!!

Nikaona hapanifai... nikapiga chini mzigo, nikarudi zangu kijiweni!!
Bank zina michezo yote..
Hatar sana.mjini mipango
 
Vumilia wakate, miezi nane sio mingi sana. Ukiuza nyumba ikiisha miezi nane utajilaumu sana.
Hili ndio la msingi, miezi nane si Mingi. Akubali tu kuishi kwa taabu kipindi hiki ili mradi hadaiwi kodi, taabu nyingine azivumilie, awashirikishe familia vizuri ili kusiwepo masononeko ndani baada ya kuona ni chai na msosi mara moja per day.
 
Bank zina michezo yote..
Hatar sana.mjini mipango
Ile michezo ya hatari, banks ni victims lakini baadhi ya wafanyakazi na hawa business consultancy ndiyo wanufaika! Kwa mfano, bank ambayo ilitoa mkopo kwa yule jamaa waliamini ana sifa ya kupewa 200M kutokana na submitted bank statement wakati statement yenyewe ni forged!

Which means, kama walitoa mkopo, basi walitoa 200M kwa mtu ambae sifa yake ni 60M... kwahiyo jamaa walidondoshewa jumba bovu!! Na bank ilikotoka ile statement, bank kama bank hawawezi kufahamu kwa sababu huo ni mchezo wa staff!
 
Mshahara ni wako kwanini upate shida nenda CRDB fungua account andika barua kwenda kwa afisa utumishi wako kuwa unaomba kubadilisha account ya mshahara ipige chini hiyo account ya NMB weka ya CRDB ili muonyeshane makali kidogo wakiona pesa haiji watakutafuta mtakaa chini mtaseti ulipaje kwisha habari.
Hili pia
 
Pension yako italipia boss..
Unapataje pensheni kama hujafika muda wa kustaafu?

Umeajiriwa miaka mitano umechukua mkopo, umevuta. Una qualify vipi kwa pensheni ajira ya miaka mitano?

Halafu ninavyojua mimi ukivuta hupati pensheni, ndo maana hata mstaafu aliyemaliza utumishi akaanza kupokea pensheni baada ya mwaka mmoja akavuta pensheni inaishia hapo hapo. Sembuse umekufa kwenye ajira, unalipwa vipi pensheni????
 
Sasa mbona sikuelewi?!

Awali ulisema hiyo scanerio imetokea February... almost 6 months ago!

Hapa unasema Watashikilia mshahara kwa zaidi ya miezi 8!

The question is: Wameshaanza kushikilia tangu hiyo issue itokee?!

Kama jibu ni NDIYO, basi hapo ndipo ilipo hoja yangu kwamba ule mkopo wako halali wa NMB + Loand Board, itakuwa umeshalipa almost 6 installments bila kujali watashikilia kwa miezi mingapi!

Na kama itakuwa umeshalipa 6 installments, ina maana unaweza ku-qualify for a top-up! Ndo maana nikasema hapo hapo NMB unaweza ku-apply for top up ili ile excess amount utumie ku-clear deni la 4,234,000/= ili hatimae withholding itolewe kutoka kwenye akaunti yako!

Na ndipo pia nikasema, kama NMB watagoma, I still believe hiyo 4,234,000 haiwezi kutokea kwenye salary slip (unless you say otherwise kwa sababu unazipata hizo salary slips)!

Na kwavile hiyo 4,234,000 haiwezi kutokea kwenye salary slip (otherwise wasinge-hold account), ina maana you still have a clean salary slip unayoweza kuitumia kwenye bank nyingine kuomba mkopo utakaokusaidia ku-clear deni lako ili akaunti yako NMB iwe released!

amu hapo juu kanithibitishia kwamba tuna Credit Bureau na ipo effective, but I think -4,234,000 haiwezi kuwa reflected huko.

But all in all, kama walisema watashikilia for almost 8 months... na miezi 6 inakaribia kuisha, sasa kama ulivumilia miezi 6 yote hiyo, kwanini usivumilie hiyo miezi michache iliyobaki?
Makato mapya hawajaingiza , bado loarn board wanakata Kama kawa, na ni kweli kwenye salary slip hili Deni halionekani..
Naweza ndio kukopa sehemu nyingine na kulipa hili Deni sasa tatizo litakuja kwenye pale Nmb watakapotaka kuingiza makato mapya itagoma..
Kwa ufupi Mimi ni mtu mstaarabu Sana sema Basi tu nMb hawataki kukuona hili, hata hili la kubadilisha mshahara linawezekana tu
 
Unapataje pensheni kama hujafika muda wa kustaafu?

Umeajiriwa miaka mitano umechukua mkopo, umevuta. Una qualify vipi kwa pensheni ajira ya miaka mitano?

Halafu ninavyojua mimi ukivuta hupati pensheni, ndo maana hata mstaafu aliyemaliza utumishi akaanza kupokea pensheni baada ya mwaka mmoja akavuta pensheni inaishia hapo hapo. Sembuse umekufa kwenye ajira, unalipwa vipi pensheni????
Mkuu una uhakika kuwa mfanyakazi ambaye anakatwa pension akifariki familia/wategemezi wake hawapati chochote??
 
Nilishasema, sipati pesa nikaiwekeza kwenye nyumba ili hali haina mrejesho wa uchumi. Ungekuwa na akili ya biashara ungeitumbukiza huko ukaja kujenga kwa madaha.
Huyu amejenga anaishi kwake asingejenga angepangisha nyumba na kulipa kodi
 
Makato mapya hawajaingiza , bado loarn board wanakata Kama kawa, na ni kweli kwenye salary slip hili Deni halionekani..
Naweza ndio kukopa sehemu nyingine na kulipa hili Deni sasa tatizo litakuja kwenye pale Nmb watakapotaka kuingiza makato mapya itagoma..
Kwa ufupi Mimi ni mtu mstaarabu Sana sema Basi tu nMb hawataki kukuona hili, hata hili la kubadilisha mshahara linawezekana tu
Wakiingiza makato mapya itagoma kivipi Kiongozi?!

Let me tell you what I think about how the system works!

1. Account itakuwa withheld at a certain amount... ndo hiyo 4.3M

2. Kama hawaja-set monthly amount to be debited, ina maana a moment unapoingiza, let's say 5.3M, system automatically ita-DR 5.3-4.3 na akaunti yako itabaki na balance ya 1M. Which means, hata wao wakiingiza kiasi chochote (assuming wameshikilia kiasi cha mshahara), hicho kiasi kitaingia kwenye akaunti kama kilivyo! Kitakuwa deducted only if pesa uliyolipia ni pungufu ya 4.3M!

Say umelipa 3.1, sasa balance yako itasoma -1.2M na sio -4.3 tena!! Sasa kama wao wataingiza mapato ambayo kwa mfano ni 2.5M, automatically balance yako itasoma 2.5-1.2 = +1.3M

3. Kama wame-set monthly amount to be debited, system ita-DR hiyo amount pekee!

Hata hivyo, possible case ni #2 na sio #3.

4. Kama Bodi bado wanakata, basi lazima niseme Tanzania n taifa la ajabu kupata kutokea kwa sababu inaonesha ama NMB, Loan Board au Mwajiri, mmoja wapo au combination ya miongoni mwao kutakuwa na uzembe ama wa masiliano au utekekelezaji.

5 Kubadili mshahara... hiyo ni TERRIBLE IDEA, na anayekushauri hivyo kimsingi anakushauri ufanye crime ya kukwepa deni kwa makusudi! Kuchukua loan pengine popote pale, hiyo sio CRIME kwa sheria zozote zile!
 
Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.

Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!

Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.

Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.

Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje.

NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
Nenda bank ingine waununue huo mkopo wa NMB. Hapo huchomoki
 
Mkuu una uhakika kuwa mfanyakazi ambaye anakatwa pension akifariki familia/wategemezi wake hawapati chochote??
wanapata fao la mazishi
CAP 135, sheria namba 2 ya mwaka 2018

huwezi kupata pensheni umefanya kazi miezi au miaka mitatu umevuta!

mfuko ungefilisika. Mfuko ni kama bima, wengine wanalipwa wengine hawalipwi, kuna walio kwiti kazi, waliofukuzwa, waliovuta. Na mfuko unaombea haya yatokee!

kwa kweli sielewi kabisa mwajiri anawezaje kuwa mdhamini wa mkopo wa mtu as if ajira ni kitu cha kudumu
 
Wakiingiza makato mapya itagoma kivipi Kiongozi?!

Let me tell you what I think about how the system works!

1. Account itakuwa withheld at a certain amount... ndo hiyo 4.3M

2. Kama hawaja-set monthly amount to be debited, ina maana a moment unapoingiza, let's say 5.3M, system automatically ita-DR 5.3-4.3 na akaunti yako itabaki na balance ya 1M. Which means, hata wao wakiingiza kiasi chochote (assuming wameshikilia kiasi cha mshahara), hicho kiasi kitaingia kwenye akaunti kama kilivyo! Kitakuwa deducted only if pesa uliyolipia ni pungufu ya 4.3M!

Say umelipa 3.1, sasa balance yako itasoma -1.2M na sio -4.3 tena!! Sasa kama wao wataingiza mapato ambayo kwa mfano ni 2.5M, automatically balance yako itasoma 2.5-1.2 = +1.3M

3. Kama wame-set monthly amount to be debited, system ita-DR hiyo amount pekee!

Hata hivyo, possible case ni #2 na sio #3.

4. Kama Bodi bado wanakata, basi lazima niseme Tanzania n taifa la ajabu kupata kutokea kwa sababu inaonesha ama NMB, Loan Board au Mwajiri, mmoja wapo au combination ya miongoni mwao kutakuwa na uzembe ama wa masiliano au utekekelezaji.

5 Kubadili mshahara... hiyo ni TERRIBLE IDEA, na anayekushauri hivyo kimsingi anakushauri ufanye crime ya kukwepa deni kwa makusudi! Kuchukua loan pengine popote pale, hiyo sio CRIME kwa sheria zozote zile!
Ninachokuambia ni ukweli salary slip bado inaonyesha Bodi wanakata Kama kawaida maana hawajapewa Chao..
Lakini pia Deni ambalo lipo kwenye akaunti yangu,
NI TOFAUTI NA DENI WANALONIDAI HAO LOAN BOARD,
sasa sijui
 
Back
Top Bottom