Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,840
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....hilo jina Wala halinipi shida MkuuSawa mke wa pili
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....hilo jina Wala halinipi shida MkuuSawa mke wa pili
Safi sana, naomba tutafutane basi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....hilo jina Wala halinipi shida Mkuu
Mimi nitafanya unafki mwingine ila unafki wakujifanya nampenda mwanamke anayependwa na mume wangu siuwezi.Hope mko poa
Moyo wangu unasononeka sana, ndan ya wiki moja yametokea matukio ya ajabu sana hapa mtaan kwetu. Yaan kila nikifikilia na kuangalia nakosa hata ham ya kula.
Lakini kabla sijawasimulia naomba Niulize swali. kuna shida gani?!mwanaume akiwa na wake wawili na wote anawahudumia vzuri ni nin kinafanya wanawake wengi waikatae hii Hali?
Dear ladies Why can't you share your man?
Kwakweli Ni unafiki wa hali ya juu SanaMimi nitafanya unafki mwingine ila unafki wakujifanya nampenda mwanamke anayependwa na mume wangu siuwezi.
Wwe unaonekana una wivu sana!!Mimi nitafanya unafki mwingine ila unafki wakujifanya nampenda mwanamke anayependwa na mume wangu siuwezi.
sana kiasi kwamba nilikua nikigundua mwanaume naetaka kuanzisha nae mahusiano ana marafiki wa kike aisee namcancel haraka sana.Wwe unaonekana una wivu sana!!
Sababu zipo mbili.Hili jambo nilikuwa najadili na cousin yangu akaniambia “Mama kuna baridi la uzeeni ujue “
[emoji38][emoji38][emoji38]
Tokea hapo akili ikakaa sawa.
Mambo ya uke wenza ni ubinafsi tu wa wanaume, kwanini haikubaliki mwanamke kuwa na wanaume wawili kama hivyo na wakaheshimiana?