Sidhani kama ww uko fare, kwaiyo ulitaka wafrahie wanapo ona matlaba kila sehem? Angalia aina ya ubadhilifu ulio fanywa serikalini, vipi kuhusu endess increasing of inflation,safari hata zisizo na tija, saivi kila kiongozi ni kupishana airport wakati wananchi wana kila aina ya matatizo na ni...
Mm ni mtu wa kaskazini na wala sihusiani na usukuma, lakini kwanini unalipeleka ili swala mbali ? Na ili iwaje? Uyo mtu hayupo unaongea ongea kama alichukua mkeo?
Sita acha kuwambia wote mnao onyesha chuki uchwara waziwazi, kuwa ni kweli yeye kama binadam mwingine alikuwa na mapungufu yake...
Hongera umecomment vyema mkuu, kuliko yule mjinga wa kwenu sijui coco anandika kama anahara.
Mbona tuanenda pabaya haraka hivi?...kweli usimamizi umekuwa wa hovyo kiasi hiki?[emoji848]
Ona hii tahira ya kula mafiii vile inatamani kudondoka kwa utali Tz, yote hii ni chuki ndio inawatafuna,alafu sisi ndio tuwapende wanafki nyie[emoji706]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.