Nilipofukuzwa kazini 2017, nilipitia nyakati ngumu sana isitoshe naondolewa hapo kazini nina mwezi moja baada ya mimi kufunga ndoa, niliyaishi maisha ya msoto kwa takribani miaka 4,nimejifunza mengi na niliona rangi halisi ya wanaonizunguka, ila namshukuru Mungu alinipa subra na uvumilivu,kwa...
Hii nchi sometimes inahuzunisha, hata sukari ni tatizo lenye kuchukua muda mwingi kulitatua kwake.....kwenye vitu kama hivi ndo tunapima uweledi na uwajibikaji wa viongozi wetu.
Uzinifu huanza na mwanamke...Acha waendelea kuvunja ndoa.....
Kuoa mwanamke mwenye makalio makubwa na chuchu saa sita ni kujipa tatizo la shinikizo la damu.....acha tuoe hawa viswaswadu
Hayo ndo mawazo ya kiume....ingawa ningelikuwa mimi nisingelifikia huku kwenye kuomba ushauri...ningepiga kimya tu au ningempa makavu...mambo yangeishia hapo hapo.
Mambo ya uvumilivu awaachie wanandoa huko.
Nilijaribu kulima kipindi cha 2018/19, ijapokuwa sikuwa na idea nayo ila kutokana na muongozo wa mawili matatu kwa watu nilibahatika kulima kama ekari 3.5,
Mimi nililimia kibiti maeneo ya PAGAE
MCHANGANUO WAKE
*Kuandaa shamba ilikuwa 50k kwa ekari moja
*kupanda 30k kwa ekari,kipindi cha...
Kwa upande wangu nadhani si jambo sahihi.....kifo ni UKUMBUSHO kwa sisi tuliobaki hapa dunia juu ya kutathimini matendo yetu.
Aliyekufaa alikuwa kama sisi tulio hai.
TUKUMBUKE HILO.
Tanzania tunapenda mambo ya UNAFIQ na UZANDIKI, hakuna mwenye ithibati juu ya hayo lkn tunakuwa wakwanza kunyoosheana vidole....Acha mange atupige pesa.
Mzee uliposema misani umenikumbusha mbali sana aisee nilikuwepo kama mwanafunzi wa sekondari ya Kiwangwa 2005-2008 kiukweli Kiwangwa imebarikiwa sana.
Nitakuja kuwekeza hapo one day...Mungu aniongoze katika hilo.
Alafu nilitaka kumuulizia huyu manzi, alikuwa na mitikasi mingi ya biashara ya dhahabu huko migodini kumbe mjasiriamali fake [emoji3][emoji3][emoji3] aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.