KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,887
Habari za muda huu ndugu zanguni.
Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.
Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.
Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.
Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.
Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.
Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.
Karibuni Sana wanajamvi.
Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.
Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.
Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.
Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.
Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.
Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.
Karibuni Sana wanajamvi.