ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,393
- 5,246
Sukari leo imepanda bei na kuuzwa kg1 kwa sh 5000
Madukani hakuna sukari kwenye godown sukari hamna
Serikali fanyia kazi changamoto hii ya sukari
Bodi ya sukari mmelala au mna maana gani?
Kama uzalishaji wa ndani wa bidhaa sukari hautoshi agizeni sukari kutoka nje
Burundi sukari ni 1500, Uganda 1500, Malawi na Zambia ni bei nafuu kuliko hii
Tunaelekea mwezi Ramadhan mmeanza kupandisha bidhaa bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Madukani hakuna sukari kwenye godown sukari hamna
Serikali fanyia kazi changamoto hii ya sukari
Bodi ya sukari mmelala au mna maana gani?
Kama uzalishaji wa ndani wa bidhaa sukari hautoshi agizeni sukari kutoka nje
Burundi sukari ni 1500, Uganda 1500, Malawi na Zambia ni bei nafuu kuliko hii
Tunaelekea mwezi Ramadhan mmeanza kupandisha bidhaa bei
Sent using Jamii Forums mobile app