Sio poa kabisa kuna mdaa unaeenda ofisini kupiga story tu usiombe wewe hu uzi jirani wanauza na wateja wanakupita kama hawakuoni at kula mchana unashindwa na hapo ni siku mbili mfululizo
Hii thread imenipa hasira sana ki ukweli tuna Nchi yenye mali za kumuwezezha kila mtu kuishi maisha bora ila sasa hizi siasa za ubinafsi na uroho nakukosa mipango ya kimaeendeleo kwa watu wake ni 🚮
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.