herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,303
- 3,987
Majambazi wamekimbilia siasa, now wanapena vyeo wapo mabungeni wanajiita serikali wanapora mali zawananchi na roho pia za wakosoaji.
Majambazi mmetufikia tupo tunajipanga baada ya changamoto za hapa na pale😂😂Mengine yameokoka.. Mengi yameuliwa mengine yamefungwa yaliyobaki yamekuwa matapeli
Utajiri bila masharti magumu ya kutoa kafaraTUMA KWENYE NAMBA HII
NA WAGANGA WAKIENYEJI babu mganga..
jiunge fremason
Majambazi wengi kwa sasa wameingia kwenye SiasaVijana wameshtuka, kama unaitaka mali utaipata shambani sasa hivi wengi wapo maporini huko wanavuna mijipesa tu
Siku hizi taarifa za majambazi tunazipata kwa njia za kidigitali kwa kupitia Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali/CAG.Zile enzi za kuvizia magari,kukaba,kutumia silaha za moto,kuvunja/kuimba na uanahakharamu wa aina hizo unayeya na wakati.Hatuwaui majambazi hao bali tunawazomea tu yanaisha.Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu?
Maana zamani ingawa social media zilikua chache ilz habari zilitapakaa kwa redio.magazeti na simu.
Ni miaka mingi sijasikia matukio.ya hivyo.?
Je ni experience niliyonayo mimi tu kutokana na mazingira niliyopo au mkoa ninaoishi?? na watu wengine huko kwenu vipi bado matujkio yapo?
Nb majambazi wengine nawajua kabisq ila matukio ndo hayatokei?? Hii imekaaje?? Au wameokoka??
HIvi na wale wanaojisalimishaga na silaha hua inakuaje hadi kusalimisha kitega uchumi cha kuchukua mshiko nje nje AKA mshiko fasta??
Uzi umeishia hapa. Atafakari zaidi.TeknolojiA