Recent content by jumalesso

  1. J

    JamiiForums Tanzania Faida za kuzaa watoto wengi ni zipi?

    Kama ni family planning basi watoto hutakiwa wapishani miaka 3 sasa khofu ya nini? ukimjaza sasa hivi basi watapishana zaidi ya miaka 3.5 huyo mama yuko right mpige bao jengine usiogope gharama kila mja ana rizki yake
  2. J

    JamiiForums Tanzania THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

    Sikubaliani na wewe dogo uchumba wa muda mrefu sio mzuri mara nyingi huishia kubwagana pengine kwa sasa una msukumo zaidi wa hamu ya kufanya mapenzi zaidi ya ndoa jaribu kulidhibiti hilo na komalia kitabu haya mambo yapo tu
  3. J

    JamiiForums Tanzania THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

    Mbona wengine tulimaliza Chuo bila girlfriend hali ya kuwa ni Marijali? kazana na kitabu dogo that is is the first priority for you!
  4. J

    JamiiForums Tanzania THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

    Kula kitabu dogo achana na milupo kuwakosa tu ushachanganyikiwa jee ukimpata kisha akakutema si utajinyonga wewe?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mke amtaka rafiki wa mume wake kimapenzi: Nini ushauri wako?

    Ushauri mwanana hapahitajiki nyongeza
  6. J

    JamiiForums Tanzania Sex jihad hii kitu ni balaa!!

    Dini ipi?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

    Fahali wawili hawakai zizi moja au umesahau?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

    Kula kona ndugu hakufai mwaka tu tayari keshabebeshwa halafu mbebeshaji yupo ofisi moja na pengine ana mshiko unaoeleweka usisubiri maumivu yajayo haya yanatosha msahau na ng'ang'anaa na kitabu kwanza mpaka kieleweke vyenginevyo utakosa yote
  9. J

    JamiiForums Tanzania Neno "KAMBI YA UPINZANI" LIFUTWE badala yake tutumie "KAMBI YA UTETEZI".

    Ni kweli kuna mantiki ya kufanya hivyo naikubali hoja
  10. J

    JamiiForums Tanzania baada ya kumchumbia ameanza kuniogopa

    Ni uamuzi mzuri nami nakushauri usile mzigo mpaka baada ya ndoa jambo hilo litakujengea heshima zaidi kwake na kuonyesha kuwa wewe si mtu wa papara kitu ambacho naamini ndivyo ulivyo.Mwezi wa 12 sio mbali ndugu haina haja ya haraka ya tendo hilo madhali mshaamua kuoana. Pia msisahau kupima. Kila...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Washikaji tusome tuache kudeka, huyu muhadhiri tumemuonea

    Hilo ni tatizo la utawala mbovu inakuwaje kuchukua hatua bila utafiti? kesho na keshokutwa mtamsingizia Mhadhiri mwengine anataka kubaka mwenzenu. Kwa namna hii elimu ta Tanzania itafika kweli? ikiwa kizazi cha wasomi kiko hivyo jee kikiingia mtaani si itakuwa kuendeleza majungu tu! Hakuna wenye...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Anata kujiwa sababu ni penzi

    Jitahidi kuacha zinaa kijana unayapa muelekeo mbaya maisha yako ya ndoa ambayo bado ni changa. Kwanini usiongeze wakati ruhsa ipo? Kinyume na hapo itakuwa ni ufisadi Mungu akuongoze kuacha mambo hayo
  13. J

    JamiiForums Tanzania Babu nilikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi!!

    Pole sana ndugu Mungu akupe subra na uvumilivu
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kuumwa mgongo kwa mjamzito- dawa yake ni ipi?

    Upate massage tu dada hamna zaidi na pia punguza kukaa sana kwenye viti ambapo hupati flexibility ya kuegemea vizuri
  15. J

    JamiiForums Tanzania Kama iko hivi ! Iweje iwe vile ?

    Siyo wote wanaobaleghe huwa wanaweza majukumu ya ndoa kwa sababu mbali mbali. Kwa hiyo ni muhimu watu wabaleghe kwanza wajiandae na mabadiliko hayo ya kimwili baada ya muda watajipima kama wanaweza kuingia kwenye majukumu ya ndoa. Qualification ya ndoa lazima uwe baleghe Mkuu.
Back
Top Bottom