Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,789
Wana wa bodi, habari zenyu.
Ni hivi recently nilishusha hoja hapa jamvi, but haikupatiwa enough results.
Leo nimejiongeza niilete kama hoja "specific"
Kwakua nilipoileta awali nilikua nimeichanganya na vitu vingine.
Nilitaka kujua kwamba :-
Ikiwa jamii (si hapa tu Tanzania, takriban kidunia) inachukulia tendo la ku'sex kabla ya ndoa si kitu kinachokubalika. Ikaenda mbali zaidi na kuitwa ZINAA, kwingineko ikaitwa MAPENZI YASIYO RASMI, sometimes NGONO NZEMBE n.k n.k
Nachotaka kujua kama hivi ndiyo ndivyo, ikawaje biologia ikatubalehesha kabla ya ndoa ?
Ilhali hakuna atakaenibishia kwamba , mara tukishabalehe demand ya ku'sex being available ?
Nawasilisha.
Ni hivi recently nilishusha hoja hapa jamvi, but haikupatiwa enough results.
Leo nimejiongeza niilete kama hoja "specific"
Kwakua nilipoileta awali nilikua nimeichanganya na vitu vingine.
Nilitaka kujua kwamba :-
Ikiwa jamii (si hapa tu Tanzania, takriban kidunia) inachukulia tendo la ku'sex kabla ya ndoa si kitu kinachokubalika. Ikaenda mbali zaidi na kuitwa ZINAA, kwingineko ikaitwa MAPENZI YASIYO RASMI, sometimes NGONO NZEMBE n.k n.k
Nachotaka kujua kama hivi ndiyo ndivyo, ikawaje biologia ikatubalehesha kabla ya ndoa ?
Ilhali hakuna atakaenibishia kwamba , mara tukishabalehe demand ya ku'sex being available ?
Nawasilisha.