Recent content by juakal

  1. juakal

    Uhusiano kati ya vazi la bikini (thong) na tabia ya mtu

    Akivaa bikini mimi nitamuona malaya sababu wanaozivaa wengi wao wanajulikana
  2. juakal

    TANZIA: Leticia Nyerere afariki dunia

    Nyie sema tu RIP, hayo mengine achana nayo
  3. juakal

    Sio kila saa mwanaume anataka kufanya mapenzi

    After sex sometimes nampa na sometimes nampa nauli tu maana sitaki kawe kautaratibu ka kwamba kuna malipo every after sex. Hela za matumizi nampa japo simtimizii 100% Lakin hawezi kukaa siku mbili tatu bila kudai mechi. Sijui nikimuoa sasa
  4. juakal

    Sio kila saa mwanaume anataka kufanya mapenzi

    Hahaaa maeneo gani mkuu? Utakuwa mkombozi wangu… .. maana kila baada ya siku mbili utasikia mchumba leo vipi nimemis kweli
  5. juakal

    Sio kila saa mwanaume anataka kufanya mapenzi

    Sexual addict… . hakika huyu wa kwangu ni sexual addict maana sometimes najikuta naishiwa mpaka hela ya lodge
  6. juakal

    Hakiki simu yako kwa mtandao

    Zangu zote ziko poa. Ukinunua kitu genuine raha sana. Hakuna mawazo
  7. juakal

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Nipo changanyikeni. Ubungo naupata sehemu gani niununue kesho
  8. juakal

    Naomba huu wimbo kama unao (Flaviana & Flavour)

    Sawa nakutumia
  9. juakal

    Naomba huu wimbo kama unao (Flaviana & Flavour)

    Ni pm namba yako nikutumie whatsapp
  10. juakal

    Msiba wa mama yangu mzazi

    Pole sana mkuu. Allah akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
  11. juakal

    Usaili DUCE 28 Dec 2015

    Mimi pia nilifanya. Sikupigiwa hadi leo. Nadhani ambao hatukupigiwa tulikosa
  12. juakal

    Tatizo la storage space kwenye simu

    Ulinunua sh. ngapi mkuu? Huwa naziogopa sana simu za wale vijana
  13. juakal

    Rais Magufuli atangaza safu mpya ya Makatibu Wakuu, Eliakim Maswi apelekwa TRA

    Hii nafasi kwa Tibaijuka ni ndogo. Atagombea uraisi awamu ijayo
Back
Top Bottom