Hakiki simu yako kwa mtandao

Hakiki simu yako kwa mtandao

the muter

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
1,371
Reaction score
1,861
Andika *#06# kwenye simu yako. Zitakuja imei no number hizo zipo 15. Kama simu ni double line zitakuja imei mbili unaweza kuhakiki ya kwanza kisha ya pili. Zikopi no hizo kisha ingia ktk link hiyo uhakiki

IMEI Code Verification

Kumbuka kuanzia June simu fake hazitatumika
 
Andika *#06# kwenye simu yako. Zitakuja imei no number hizo zipo 15. Kama simu ni double line zitakuja imei mbili unaweza kuhakiki ya kwanza kisha ya pili. Zikopi no hizo kisha ingia ktk link hiyo uhakiki

IMEI Code Verification

Kumbuka kuanzia June simu fake hazitatumika
Nime verify, yangu iko POA siyo fake.
 
Ngoja nijaribu then nitaleta mrejesho.
 
Mkuu! Mbona ninapohakiki IMEI moja naletewa Is not Genuine?
 
Mkuu! Mbona ninapohakiki IMEI moja naletewa Is not Genuine?
Simu yako ina imei ngap? Kuna ya pili inakubali. Kama imei moja na not genuine ujue ni fake ila usiwe na wasiwasi wataextend deadline
 
Simu yako ina imei ngap? Kuna ya pili inakubali. Kama imei moja na not genuine ujue ni fake ila usiwe na wasiwasi wataextend deadline
Iko na IMEI mbili lakini zote zinaandika not genuine, nikajaribu pia na simu ingine Nokia but majibu ni yaleyale.
 
Andika *#06# kwenye simu yako. Zitakuja imei no number hizo zipo 15. Kama simu ni double line zitakuja imei mbili unaweza kuhakiki ya kwanza kisha ya pili. Zikopi no hizo kisha ingia ktk link hiyo uhakiki

IMEI Code Verification

Kumbuka kuanzia June simu fake hazitatumika

simu fake hazitatumika[/QUOTE]
ahsante mkuu acha nichek na yakwangu
 
Zangu zote ziko poa. Ukinunua kitu genuine raha sana. Hakuna mawazo
 
Back
Top Bottom