Recent content by Jr Samsung

  1. Jr Samsung

    Nakosa cha kuongea na mpenzi

    dakika 5*5=25 umri wa jamaa,...unashindwa kumsifia? kamwambie baby unajua unahips kama tofali za kuchoma,.stori zitaanza
  2. Jr Samsung

    Wanaume msipende kufanya hili mtalia sana mkakosa wa kuwafuta machozi

    jamaa amegharamia kama alikiba,.,kazi kwake
  3. Jr Samsung

    Dalali wa kazi

    kizazi cha BRN hiki
  4. Jr Samsung

    Mwanaume

    mtaliwa sana msipoangalia,..who cares na dudu ulishawekewa
  5. Jr Samsung

    Nimejitahidi kuishi maisha ya umri wangu ila hivi vitu vimenishinda

    tufanye yote ila mpira wa miguu tena Manchester united fc nikilala naota natamani hata kila siku mpira upigwe
  6. Jr Samsung

    Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

    kwa nini na nyie wanawake wa tanzania mnaomba hela sana kwani nyie hamna mikono? misuli? na ubongo je?
  7. Jr Samsung

    Wadada wa siku izi mbona hamna woga?

    tuanzie hapa kwanza,.,ulitoka ofisini muda wa kazi zinaendelea au muda wa kazi ulikuwa umeisha?
  8. Jr Samsung

    Magufuli: Miezi 2 madarakani sasa, Katuangusha au Hajatuangusha?

    bado mapato mengi yanapotelea huku TANAPA & Ngorongoro CAA,haya ni majipu uchungu kabisa
  9. Jr Samsung

    Kwa hili sio siri Prof. Maghembe ameonewa sana aombwe radhi

    akitaka afanikiwe aende FACULTY OF FORESTRY AND NATURE CONSERVATION ya SUA akateue maprof na madokta pale wapo wamsaidie
  10. Jr Samsung

    Uteuzi wa Dr. Ndalichako unahusiana na JamiiForums...

    JF ni tofauti sana na social network zingine za kipuuzi hapa ni 'the home of great thinkers' ila wengine daaah eeeeh
Back
Top Bottom