Bugududu Sududu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2014
- 594
- 691
Habari zenu wakuu, miongoni mwa wizara zilizo kuwa zimeachwa kiporo uteuzi wa Waziri wake ni wizara ya elimu, kabla ya uteuzi uliofanyika jana kuna uzi ulipatikana humu ikidai wizara ya elimu apewe aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la mitihani (necta) Dr. Joyce Ndalichako, jana tumeshuhudia wenyewe mambo yamefanyika kama ilivyo ombwe.
Je, JamiiForums kuna makachero? Kama sivyo basi Nimeamini kweli JamiiForums "The home of great thinkers "
Je, JamiiForums kuna makachero? Kama sivyo basi Nimeamini kweli JamiiForums "The home of great thinkers "