Wadada wa siku izi mbona hamna woga?

Wadada wa siku izi mbona hamna woga?

Mimi hua naogopa maana tunaeza ishia Kudo mwishowe nibak nalia tu. Ndo maana hua wakija ivo name natambua lengo lao before so Evelyn salt Mimi kwetu ndo naangaliwa sana nahofia nicje harbu ndoto za wadogo zangu bana. even though sjapata was ivo ambae ni mashalaa ad nimwone was ukwelii no hao wa kawaida tu na sio was kunifanya niwalove back.

Aaah we acha hizo, kama ni ngoma unaweza kuipata hata kwa huyo ulimtokea wewe tena mwaka mzima kakuzungusha, unamuaminiiii na ngoma atakuletea haya mambo hayatabiriki msituchululie negative hata sie tuna hisia na nyege pia....
Merry Christmas karibu tulewe nipo sinza hapa
 
Kwani kukupenda tu ndo atakupa ngoma

we Evelyn mi kwetu ndo tegemeo na uyu so wa kwanza kuna wengne wa2 ila was kwanza nilimgonga nikamwacha ikawa case. na ukikubaliana nao mwisho unaishia kuwagegeda nikaenda kupma nikakuta cna tangu apo nikajiapza lazma niwe makini hapa mjin
 
Aaah we acha hizo, kama ni ngoma unaweza kuipata hata kwa huyo ulimtokea wewe tena mwaka mzima kakuzungusha, unamuaminiiii na ngoma atakuletea haya mambo hayatabiriki msituchululie negative hata sie tuna hisia na nyege pia....
Merry Christmas karibu tulewe nipo sinza hapa

poa Eve mom nipo keko huku bana iko cku ntakujoin maana data mm mdau sana
 
Mimi hua naogopa maana tunaeza ishia Kudo mwishowe nibak nalia tu. Ndo maana hua wakija ivo name natambua lengo lao before so Evelyn salt Mimi kwetu ndo naangaliwa sana nahofia nicje harbu ndoto za wadogo zangu bana. even though sjapata was ivo ambae ni mashalaa ad nimwone was ukwelii no hao wa kawaida tu na sio was kunifanya niwalove back.

Kwahiyo hutat...hata siku moja kwa kuhofia kuharibu future ya wadogo zako? Kwani si ungekubaliana naye mkapime?
 
super human unatuabisha wanaume,wenzio tunatafuta we unatafutwa afu unaleta uzembe kazini

motonkafu hii dunia inabidi uwe mpole kk unafanya evaluation hapa nikijisahau kdogo mpira itakuaje na huo mda wa kwenda kupma kk na mtu wa kupta nae tu unautoa wp
 
wewe Dogo Super human ndo mnafanya mpaka wanawake washindwe kueleza hisia zao ila poa naona umri wako hauruhusu ila ukikuwa utajionea
 
Last edited by a moderator:
tuanzie hapa kwanza,.,ulitoka ofisini muda wa kazi zinaendelea au muda wa kazi ulikuwa umeisha?
 
wewe Dogo Super human ndo mnafanya mpaka wanawake washindwe kueleza hisia zao ila poa naona umri wako hauruhusu ila ukikuwa utajionea

we we mapovu nipo kwenye late 20s sasa udogo Wang halo ni Upi? kiafrika mwanaume ukitokea ndo unajifeel gud wote walionipa ivo vikaratas it didn't work out so its better wacje direct mf huyu wa kwenye bas smtime hua nahis Huyu uckute ana mijitu yake akaniteke huko cz smtime not everything is cheap as you think
 
Last edited by a moderator:
nilinpgia anaongea utumbo ooh nimekunini cjui

kweli JF inasaidia sana kupima IQ za watanzania.kwenye uzi wako unasema hujajihangaisha hata kumtafuta apa unasema umempigia anaongea utumbo sjui....nahis naww ni utumbo mana umeandka utumbo utumbo utumbo
 
Haya ya siku hizi ni magumegume, wadada wako village mkuu.
 
kweli JF inasaidia sana kupima IQ za watanzania.kwenye uzi wako unasema hujajihangaisha hata kumtafuta apa unasema umempigia anaongea utumbo sjui....nahis naww ni utumbo mana umeandka utumbo utumbo utumbo

nilimuulza after kuona akiniona ananiulza mbona hukuntafuta?
 
Back
Top Bottom