Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,522
- 125,848
Ni wewe kweli......!?
Switie nasubiria zawadi ya krismas mimi
Ni wewe kweli......!?
Nenda katongozwe na wazungu basi kama unawashambikia sana!mwanaume wa tanzania aktongoza akijbiwa maneno machaf nae anatoa maneno machaf. mwanaume wa kizungu akijbiwa maneno machaf ananyamaza anazidsha upendo mpk unaona aibu kwann ulkuwa unamjbu vbaya. mwishon mnajkuta mmefall in love. kwann inakua hv?
mwanaume wa tanzania aktongoza akijbiwa maneno machaf nae anatoa maneno machaf. mwanaume wa kizungu akijbiwa maneno machaf ananyamaza anazidsha upendo mpk unaona aibu kwann ulkuwa unamjbu vbaya. mwishon mnajkuta mmefall in love. kwann inakua hv?
kwann wapo hivyo sasa? mwanaume wakizungu hata hajsumbui kujibu vbaya tena utashangaa amepajua had nyumban kwenu. unajiuliza amepajuaje?
Unapata shida ya nini si utafute mzungu.
Nenda katongozwe na wazungu basi kama unawashambikia sana!
ktk akil yko mi naweza kua na mtanzania?
We size yako mhindi
kwa nini na nyie wanawake wa tanzania mnaomba hela sana kwani nyie hamna mikono? misuli? na ubongo je?
Kuku wa kienyeji ukimtongoza lazima akutole maneno machafu.. Kuku wa kizungu ukimtongoza ndio kwanza anaongeza urafiki kama hakutaki.. Hivi kwann kuku wa kiswahili wanakuwa hivi jamani