Me ninatatizo hilo tokea 2008
Kwa kweli ni changamoto sana hasa kwenye ushauri, kunamtu utamfuata Atakwambia tumia pilipili sana na rimao mwingine atakwambia achakabisa hivyo vitu
Wengine wanasema maziwa yanasaidia na wengine wanasema yaathiri zaidi
Wenye tatizo hili tunapata ushauri mwingi...
Kwan akivua nguo ndani kuna kipi kipya??? Kwanza sijui nani alileta utaratibu wa kuvaa nguo bora tungekuwa tunatembea uchi tu maana siku hizi mtu anaona bora asile ili apate nguo aende na fasheni, #shwain
Itafanya kazi popote pale pale ila risk ya kununua kwa mtu ni kwamba endapo ikipotea utashindwa kurenew cuz hutakuwa na vithibitisho vya umiliki wa line ndio utapojikuta unapoteza fedha zako hivi hivi.
Kumekuwa na nyimbo zikitolewa za madj na maproducer kuwashirikisha wasanii waimbaji na wao hawaimbi kabisa kwenye nyimbo hizo mfano wimbo wa DUAS wa LEGENDARY BEATS FT VANESSA MDEE , I GOT THE KEYS, DO YOU MIND za DJ KHALED FT C.BROWN, NICK MINAJ NA FUTURE
hivi inakuwaje kwenye show, dj khaled...
A mysterious event happened at ONDO ODUDUWA STREET, ONDO STATE.
Nigeria
A boy of about 12yrs old was found in the middle of moulded laid blocks. It is beyond imagination, it is unexplainable, The boy sang for like 3 days before the people around discover it was a human and began to break the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.