Recent content by josephjrm

  1. josephjrm

    Naomba ushauri wa haraka kuepuka kesi hii inayonikumba ya Ubakaji

    Hahaha mkuu umefanya nimecheka sana Sent using Jamii Forums mobile app
  2. josephjrm

    Msaada: Nina madeni Lukuki nifanyeje.

    Dawa ya Deni Kulipa
  3. josephjrm

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Me ninatatizo hilo tokea 2008 Kwa kweli ni changamoto sana hasa kwenye ushauri, kunamtu utamfuata Atakwambia tumia pilipili sana na rimao mwingine atakwambia achakabisa hivyo vitu Wengine wanasema maziwa yanasaidia na wengine wanasema yaathiri zaidi Wenye tatizo hili tunapata ushauri mwingi...
  4. josephjrm

    Vitabu 10 ambayo vitakujenga

    Anayevijua vitabu vya story nzuri, kurefresh mind kidogo maana vingi vilivyowekwa vinatumia akili nyingi
  5. josephjrm

    Kwanini Wanawake Wajawazito siku ya Kusikia uchungu wa Kujifungua huwa hawaoni aibu kubaki Utupu?

    Kwan akivua nguo ndani kuna kipi kipya??? Kwanza sijui nani alileta utaratibu wa kuvaa nguo bora tungekuwa tunatembea uchi tu maana siku hizi mtu anaona bora asile ili apate nguo aende na fasheni, #shwain
  6. josephjrm

    Ushauri: Watengenezaji wa konyagi

    Umewaza vema, pia hata bia za kawaida na soft drinks ingekuwa hivyo poa tu
  7. josephjrm

    Nikinunua line ya tigo pesa Arusha nikileta Dar itafanya kazi?

    Itafanya kazi popote pale pale ila risk ya kununua kwa mtu ni kwamba endapo ikipotea utashindwa kurenew cuz hutakuwa na vithibitisho vya umiliki wa line ndio utapojikuta unapoteza fedha zako hivi hivi.
  8. josephjrm

    Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

    Sasa kama pussy inatoa harufu tufanyaje, shukuru hata hiyo round moja maana ni ya uvumilivu wa hali ya juu
  9. josephjrm

    Dj's na maproducer kuwashirikisha waimbaji

    Kumekuwa na nyimbo zikitolewa za madj na maproducer kuwashirikisha wasanii waimbaji na wao hawaimbi kabisa kwenye nyimbo hizo mfano wimbo wa DUAS wa LEGENDARY BEATS FT VANESSA MDEE , I GOT THE KEYS, DO YOU MIND za DJ KHALED FT C.BROWN, NICK MINAJ NA FUTURE hivi inakuwaje kwenye show, dj khaled...
  10. josephjrm

    Msukule aliyesalimika baada ya ugomvi wa Kaka na Dada!

    A mysterious event happened at ONDO ODUDUWA STREET, ONDO STATE. Nigeria A boy of about 12yrs old was found in the middle of moulded laid blocks. It is beyond imagination, it is unexplainable, The boy sang for like 3 days before the people around discover it was a human and began to break the...
  11. josephjrm

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Hivi hivi me naona ndio fresh
Back
Top Bottom