YAMEWAHI NIKUTA⛔️⛔️⛔️⛔️
Nilipokuwa ninaingia kidato cha sita nilipewa hela ya kununulia mahitaji pamoja na ada, nikanunua mahitaji yote ya msingi nikapanda daladala vile nashuka nikasahu dakika chache zilipita baada ya abiria kushuka narudi najaribu kumuuliza kondakta ananambia hawajaviona...
MPM, hii inpatikana ukishakua na experience ya project management au Bachelor degree in project management na experience ya miaka miwili.
PRINCE2 siyo lazima uwe na experience ya mda wote huo miaka miwili lakini uwe na Foundation ya PRINCE2 methodology.
NB; Hizi ni methodologies tu japo moja...
Hii ni kawaida kwa sasa kutokana na ulaji unaweza tumia matunda daily na ukapata sababu unkua umesahau kupunguza vyakula kama chapati na maandazi. Bila kutumia maji baada ya kula vyakula hvyo.
Kama ndio tatizo limeanza daktari wangu alinishauri na nilipona within two weeks na halijajirudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.