Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,414
Tatizo lako tofauti na la kwangu.tatito mimi kuna kama uvimbe namikwaruzo,ninapoenda haja kubwa ni maumivu makali sana,hata nikikaa tu bi maumivu mkuu,hosp vipi,hawatibu?
Source ni nyingi la hemorrhoids nadhani.
Lipo la kukaa Sana,kunyanyua vitu vizito,
Ama kujikaza Sana chooni.
Mambo mengine ni Koo kurithiana.
Mengine ni masuala ya kienyeji zaidi.ulaji wa vyakula fulanifulani unaleta shida iyo.
Hapa sayansi haipo Tena ni uzoefu wa mababu zetu walivyoishi kabla ya kuja kwa mkoloni.na ingawa mwafrika aliyepata elimu ya mkoloni anapinga.
Wapo wanaotibiwa kienyeji wanapona.