Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Mbaya zaidi wabongo hata hatui tumii
😁😁 Hakika mkuu, telegram mziki wake Ni kwny MB hapo.Naona imekubali bt kwenye mb ili upakue movie ndo kipengele
Wanaitumiaje vibaya?
Itakuwa yale mambo yetu pendwa
Copyights zinazingua sana nowdays telegram, make ilkua kama torrents tu so wamiliki wa music, movies n.k waliona contents zao zinapatikana free na unlimited telegram bila wao kufaidika so sheria za copyrights zinawalinda kwa sasa kwa maana ya baadhi ya contents huzipati kirahisi kwa baadhi ya bots au huenda bot huyo amekua blocked na firewalls zao ku access contents zao kutoka third-party servers..Kwenye books naona imekubali fasta tu, bt kwenye movies au series naona nikisachi inaweka tiki tu bt haileti, je nakosea?
Hahahaa! Za kibongo kuzipata huko kidogo ni kipengele si unajua watu hawashare sana movies zetu kiasi cha kua hosted kwenye many online cloud storages kiasi ingekua rahisi kuzipata hata kwenye torrents!Nimetafuta Royal Tour movie nimeikosa
nakujaKwa wale wanaopenda kudownload video za Youtube, Basi tumia hii @utuberabot
- Ukisha ianzisha search video yeyote kwa kuandika hivi
View attachment 2225702
===
@vid JamiiForums (kama mfano, ile wewe andika jina la video unayotaka)
Ambapo matokeo ni haya:
View attachment 2225711
Kisha Chagua video unayotaka ku_download, Itakuletea hivi, Nitachagua video ya kwanza
View attachment 2225715
Kisha chagua file size unayohitaji.