Kwa wewe ni simple kuweka saving maana hizo siku 42 unakula bure usafiri internet etc. Hii inawapa unafuu sana watu wa migodini oil and gas etc.
Lakini ingekuwa unaenda na kurudi kama wafanya kazi wa kawaida ungekuwa unabaki na kiduchu
Hawa Ndio Vilaza magufuli alikuwa akiwatumbua wanamuona mbaya. Sasa kama mtu kuandika hajui na bado anajitapa kuwa ni injinia. Sasa huko kazini sijui anainjinia nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.