Recent content by jooohs

  1. jooohs

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Haya ndio maisha sasa ya kuishi ukiongeza na hayo mengineyo inafika milioni 10
  2. jooohs

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Kwa wewe ni simple kuweka saving maana hizo siku 42 unakula bure usafiri internet etc. Hii inawapa unafuu sana watu wa migodini oil and gas etc. Lakini ingekuwa unaenda na kurudi kama wafanya kazi wa kawaida ungekuwa unabaki na kiduchu
  3. jooohs

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Milioni 6 hapo kama umeajiriwa mshahara ni zaidi ya Milioni 10 sio mchezo
  4. jooohs

    JamiiForums Tanzania Maturity ni kugundua kuwa kiuhalisia unaishi kazini na nyumbani kwako unaendaga kutembelea tu. Nawaombea financial freedom wapambanaji.

    Ikifika kwenye PAYE ndio huwa nachoka kabisa yaani nikama unafanyia majizi kazi mgawane pasu kwa pasu
  5. jooohs

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Pole sana ndugu Ndio mifumo ya kisengee rushwa na ukiritimba
  6. jooohs

    JamiiForums Tanzania KwelI Mungu siku hizi anatumia mitandao ya kijamii kwa alichomfanyia Samia

    Bora akapumzike manyanyaso ya ibirisi
  7. jooohs

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Mchawi inflation tu. Maana baada tu ya 20yrs itakuwa na thamani sawa na 1b ya sasa
  8. jooohs

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Endelea kuishi utakutananayo. Kikubwa tu ogopa kuzaa na mtu mjinga ,ila wengi wanashituka too late
  9. jooohs

    JamiiForums Tanzania NICOLE JOY BERRY ATOA ONYO KALI: Ni bora niwe Single kuliko kudate na Maskini

    Na hayo makebo yake utadhani aliwekewa na newbie
  10. jooohs

    JamiiForums Tanzania Biashara inayomfaa mwanachuo anayesoma Doctor of Medicine(MD) ni ipi?

    Bora ukomae tu na shule ukimaliza utafanya biashara hadi utachoka. Au kama unaona huwezi bora u postponed
  11. jooohs

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Unakuta mtu hana uwezo wa kulea na bado anakatalia watoto kisa apate pesa za matumizi.
  12. jooohs

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Bora apumzike manyanyaso ya ibirisi
  13. jooohs

    JamiiForums Tanzania Ungepata nafasi ya kurudi chuo ungesoma nini na kwanini? Unawashauri nini vijana wanaoingia chuo mwaka huu?

    Hawa Ndio Vilaza magufuli alikuwa akiwatumbua wanamuona mbaya. Sasa kama mtu kuandika hajui na bado anajitapa kuwa ni injinia. Sasa huko kazini sijui anainjinia nini.
  14. jooohs

    JamiiForums Tanzania Unene, kuwa kibonge ni ishara ya kula hovyo na uvivu

    Uzembe uliokithiri
  15. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mambo 20 ya kipekee usiyoyajua kuhusu Tanga

    Imebaki historia
Back
Top Bottom