Recent content by jooohs

  1. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Bukombe wachimbaji wameharibu mji kupata chumba tu cha kupanga ni mtihani hata Gesti tu kupata sio kazi rahisi. Kama ukikosa nenda ukaripoti ila jiandae kabisa na pesa ya kulala lodge hata wiki mbili kisha watumie workmates wako ambao ni wenyeji wakusaidie kutafuta inaweza kuwa rahisi.
  2. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Matajiri wa mwisho wa mwezi
  3. jooohs

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kwenye mahusiano na mtu maarufu Ni stress kwa kweli

    Maisha ya Maigizo. Usanii na umaarufu
  4. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

    Asee Bia Tamu ukichanganya na walimbwende
  5. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Punguzeni Utani na Kansa jamani. Maumivu wanayopitia wanaosumbuliwa na huo ugonjwa hasa hatua za mwisho ni makali mno. Ungetuambia basi ni aina Gani ya kansa hiyo inayokusumbua. Isijekuwa Umeliwa na Kanji kwenye BETTING umechanganyikiwa unakuja kusumbua watu humu.
  6. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Pengine kuna kitu analenga kutafuta humu huwezi kubakiza Miezi miwili ukawa na nguvu za kuruka ruka humu mitandao sijui hiyo Itakuwa ni Kansa ya Aina Gani.
  7. jooohs

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Pombe sii dhambi pombe ni burudani ukiona pombe inapelekea ufanye upumbavu jua wewe ni takataka
  8. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    Mwaka Kesho karibu EACOP utajenga ujuzi na kazi utafanya haswa na malipo juu sema ndio ujiandae kabisa na interview. Ikiwezekana uombe na Gasco/Tpdc
  9. jooohs

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Kipato kidogo sana Ndugu labda kama unaishi kijijini.
  10. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kama huu ni mwaka wa 6 wa kujitegemea dsm na bado unalala chumba kimoja na madumu ya maji na mengine hadi ndio umeegeshea sabufa, rudi tu malampaka.

    Kwanini warudi wakati sii tegemezi kwako. Mimi nadhani inapaswa kuwaambia wale wanaokutegemea lakini kama mtu humlishi humvishii ni bora uachane nao uangalie maisha yako.
  11. jooohs

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Hakuna kitu cha bure bure hata hii Dunia ni mali ya Mungu haikutokea tu from no where. Naamini Mungu yupo
  12. jooohs

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Inapendeza zaidi ianze jioni saa 12 hadi kuchee asubuhi make up za walimbwende zitayeyuka mapema
  13. jooohs

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Pole sana Asee Hilo tatizo linahitaji moyo wa chuma.
Back
Top Bottom