Ingekuwa wanaajiri wachache sidhani kama wangekuja public kutoa lile tangazo.
Uzuri orientation huwa inafanyika wazi itajulikana tu ni wangapi wamechukuliwa
Hakuna kitu kizuri kama mwanaume kujitegemea kiuchumi. Muda uanokuja humu kujisifia na magari ya shemeji yako ni utoto na ujinga. Huu muda ungetumia kujijenga itafika kipindi atakuchoka na kukufukuza.
Yes ukikopa mfano laki moja na ukatakiwa kurudisha baada ya mwezi mmoja. Ndani ya hicho kipindi huo ni mkopo. Baada ya mwezi kuisha ukashindwa kurejesha ukaanza kula kona automatically linakuwa Deni
Inatakiwa kwanza ujue Kati ya Mkopo na Deni.
Mkopo nikile unachopewa baada ya makubaliana maalumu mfano Riba na mkopeshaji.
Deni linakuja baada ya kushindwa kulipa mkopo hii ndio mbaya.
Mimi nadhani Deni ndio linaleta fedhea ila kuhusu mkopo sioni kama ni kitu kibaya kama unaweza kuutumia...
Ongelea basi upande wa Heavy duty Machine ambazo mostly zinadepend kwenye Diesel.
Mfano Diesel Engine, Excavators, Bulldozers, cranes ,mining trucks, Generators etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.