Recent content by jooohs

  1. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwenye written interview za TAKUKURU kada zote wanafanya mtihani unaofanana au kila kada na mtihani wake?

    Huwa ni Aptitude test. So Mtihani ni mmoja Nimerical Grammar na situational
  2. jooohs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mi Kataa Ndoa. Ila kama ikikulazimu Kuoa, Hakikisha shemeji Anajua Kupika. Vingine vinavumilika, ila sio msosi m’baya!

    Mapenzi Mapenzi Mapenzi kupendena hayo mengine huwa tunafundishana na kuelekezana
  3. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Wapuuze hao waganga njaa
  4. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Sogea kwenye hii gari nyeusi hapa ndani ya geti
  5. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Siena Hotel karibu mkuu
  6. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Basi unaakili nyingi kuwa tu na hamu ya kupenda kusoma ni kiashiria tosha
  7. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Nisahihi ila sifanyi comparison maana Dar ndio makazi yangu
  8. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Kuna umbali kidogo mkuu siwezi fika maana sio kitu cha lazima
  9. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Tembea ndugu usijifungie sehemu moja
  10. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Ok Shukran
  11. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Shukran mkuu
  12. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Wenyeji wa igunga
  13. jooohs

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Habarini ndugu. Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri . Natanguliza shukran.
  14. jooohs

    JamiiForums Tanzania Wakisema ambao hawajashika Mil 10 toka mwaka uanze vipi utatoka?

    Kidogo kidogo nimeshika lakini kwa mkupuo hatari maana hata sasa hivi sina hata shilingi kumi mbovu
  15. jooohs

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Kweli kabisa Dunia ina uovu mwingi lakini ndio hivyo tulishazaa watoto hatuna cha kufanya
Back
Top Bottom