Unazungumzia nadharia ambayo haiwezekani bro. Gharama zitakuwa juu sana huwezi Afford .
Ku import Lpg kutoka mataifa mengine uje uweke tena miundombinu yakusambazia watu hata government haiwezi price itakuwa kubwa sana.
Ndio maana Gesi inayosambazwa kwenye nchi zilizoendelea majumbani Ni Lng...
Liquefied Natural Gas ambayo inachakatwa Songosongo Lindi Pia Madimba mtwara Ambayo zinakutana Somangafungu nakuunda pipe moja Ambayo inaleta moja kwa moja gesi Hadi hapo kinyerezi.
Sasa hivi watu wengi wanaunganishiwa moja kwa moja Majumbani kwa gharama Nafuu.
Kutoka kinyerezi kuna pipeline ya...
Asilimia kubwa ya wanawake wenye mapaja yaliojaa yakapangika vizuri hata kama wanamiili midogo utakuta tu wana miguu mizuri. Kwanza wakivaa kila aina ya nguo huwapendeza especially zile sketi zinazoishia magotini even suruali pia.
Demu wa hivyo hata kama hana matak makubwa ujue tu yaliyomo yamo.
Umenikumbusha mbali mambo ya current, R na V.
Ohms na kirchohff law. Series na parallel circuit. DC na AC , three and Single phase, transformers, Ups ,induction motor, electric power generators. Wazee wa high Voltage 132Kv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.