Recent content by jooohs

  1. jooohs

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Ingekuwa wanaajiri wachache sidhani kama wangekuja public kutoa lile tangazo. Uzuri orientation huwa inafanyika wazi itajulikana tu ni wangapi wamechukuliwa
  2. jooohs

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Nina jamaa yangu alifika oral akawekwa Data base anasema hakuna email yoyote hata kwa jamaa zake. Wakituma email ukweli utajulikana lazima zitasambaa tu.
  3. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Aibu utaona wewe
  4. jooohs

    JamiiForums Tanzania Madeni: Je, umewahi kudaiwa mpaka ukajuta kwanini ulikopa?

    Ninamadeni ndugu sema ninamudu kuyalipa kila mwezi
  5. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Hakuna kitu kizuri kama mwanaume kujitegemea kiuchumi. Muda uanokuja humu kujisifia na magari ya shemeji yako ni utoto na ujinga. Huu muda ungetumia kujijenga itafika kipindi atakuchoka na kukufukuza.
  6. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Endelea kuwa Keyboard warrior sio mbaya. Ukimaliza kula Ugali wa shikamoo kutoka kwa shemeji uje uendelee kushinda humu
  7. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Uzuri wa haya maisha hakuna cheating. Unaweza kujifanya fahari nyuma ya keyboard ukimaliza unarudi kwenye uhalisia wa maisha yako.
  8. jooohs

    JamiiForums Tanzania Madeni: Je, umewahi kudaiwa mpaka ukajuta kwanini ulikopa?

    Yes ukikopa mfano laki moja na ukatakiwa kurudisha baada ya mwezi mmoja. Ndani ya hicho kipindi huo ni mkopo. Baada ya mwezi kuisha ukashindwa kurejesha ukaanza kula kona automatically linakuwa Deni
  9. jooohs

    JamiiForums Tanzania Madeni: Je, umewahi kudaiwa mpaka ukajuta kwanini ulikopa?

    Inatakiwa kwanza ujue Kati ya Mkopo na Deni. Mkopo nikile unachopewa baada ya makubaliana maalumu mfano Riba na mkopeshaji. Deni linakuja baada ya kushindwa kulipa mkopo hii ndio mbaya. Mimi nadhani Deni ndio linaleta fedhea ila kuhusu mkopo sioni kama ni kitu kibaya kama unaweza kuutumia...
  10. jooohs

    JamiiForums Tanzania Njooni tujichange twende Tanga tukajenge kiwanda cha kemikali za Mafuta (Petrochemical Plant) Malighafi tutachukua kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta

    Ongelea basi upande wa Heavy duty Machine ambazo mostly zinadepend kwenye Diesel. Mfano Diesel Engine, Excavators, Bulldozers, cranes ,mining trucks, Generators etc
  11. jooohs

    JamiiForums Tanzania Siku nilipogundua kukesha club si sawa kwangu

    Hizo Aya za mwisho mwisho kidogo umeeleweka ila hapo mwanzo ulipokuwa unajifanya kuchanganya lugha umezingua sana unaweza rejea kusoma utaelewa
  12. jooohs

    JamiiForums Tanzania Ukuta Mkuu wa Kijani wa Afrika: China yaisaidia Afrika kuleta muujiza mpya wa dunia

    Weka picha ya huo ukuta kusupport andiko lako mkuu
  13. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kwanini redio siku hizi zinafanya sana michezo ya kubeti? Je watu wanashinda?

    Ni njia ya kuongeza mapato.
  14. jooohs

    JamiiForums Tanzania Mlioko Dar naombeni muongozo. Maisha yakoje huko?

    Utakachofaidi Ni starehe K kama zote niwewe tu na Mitungi. Kama huwezi Biashara ni bora ubaki hukohuko usije kuteseka bure.
Back
Top Bottom