Mimi mjomba wangu amenisaidia sana .aliwahi kuja kijijini akakuta nakomaa form 1 mazingira magumu siku anaondoka akanambia nitakusomesha hadi utakapo fika mwisho wa elimu yako.
Kuanzia hapo alinilipia ada kwenye shule nyingine nzuri hadi namaliza fm4 na kila mwezi alikuwa akinitumia pesa ya...
Ndio hiyo hiyo dalili ama una nyingine? Kutoka na jasho usiku jee?
Ila umeme huwa mtu anakaa zaidi hata ya miezi 3 ndio dalili za mwanzo kabisa hujitokeza halafu zinapotea
Mimi nadhani mtu akifukuzwa kazi atajikuta tu automatically anaingia kwenye mfumo mwingine either alijipanga ama laa . Mbona wengine ni jobless tunasurvive tu hivyo hivyo siku ikipita ndio unashukuru.
Mbona kama imetafsiriwa na google translate. Na kwanini kwenye tiketi yako odds kwenye mechi zote ni above 1.25 ndio ile ya kukidhi vigezo vya bonus?
Mtaendelea kukosa wateja hadi mrudishe bonus ile ya 1000% bila vigezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.