Recent content by jooohs

  1. jooohs

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Kwanini una compare maji na mafuta
  2. jooohs

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Mimi naamini katika mnyororo wote wa real estate
  3. jooohs

    Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

    Kwa maelezo yako uwezekano wa mimba ni mdogo sana yaani sana jaribu kumchunguza vizuri kama hakwenda kulala na mtu mwingine
  4. jooohs

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Unazungumzia nadharia ambayo haiwezekani bro. Gharama zitakuwa juu sana huwezi Afford . Ku import Lpg kutoka mataifa mengine uje uweke tena miundombinu yakusambazia watu hata government haiwezi price itakuwa kubwa sana. Ndio maana Gesi inayosambazwa kwenye nchi zilizoendelea majumbani Ni Lng...
  5. jooohs

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Sasa ebu tuwe realistic wewe unazungumzia propane Ambayo ndio hiyo Liquified Petroleum Gas utakuwa unaitoa wapi?
  6. jooohs

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Liquefied Natural Gas ambayo inachakatwa Songosongo Lindi Pia Madimba mtwara Ambayo zinakutana Somangafungu nakuunda pipe moja Ambayo inaleta moja kwa moja gesi Hadi hapo kinyerezi. Sasa hivi watu wengi wanaunganishiwa moja kwa moja Majumbani kwa gharama Nafuu. Kutoka kinyerezi kuna pipeline ya...
  7. jooohs

    Guest na Lodge wamezijaza wao lakini kwa unafiki wataanza memes za kuwasema waislam

    Ujinga wa muafrika uko kwenye dini. Dini ya kuletewa lakini muafrica anaweza kuuwa mtu.
  8. jooohs

    Sexy legs na miguu ya bia sikila miguu ya bia unaweza kuwa sexy leg lakini mara nyingi ni ndio japo ipo miguu isiyo ya bia ni sex leg ila sio yote

    Asilimia kubwa ya wanawake wenye mapaja yaliojaa yakapangika vizuri hata kama wanamiili midogo utakuta tu wana miguu mizuri. Kwanza wakivaa kila aina ya nguo huwapendeza especially zile sketi zinazoishia magotini even suruali pia. Demu wa hivyo hata kama hana matak makubwa ujue tu yaliyomo yamo.
  9. jooohs

    Jinsi nilivyojikuta kwenye Carrier ya umeme. Ni miujiza, nilizaliwa kwa ajili hii

    Umenikumbusha mbali mambo ya current, R na V. Ohms na kirchohff law. Series na parallel circuit. DC na AC , three and Single phase, transformers, Ups ,induction motor, electric power generators. Wazee wa high Voltage 132Kv
  10. jooohs

    Ripoti: Tanzania Inaweza Kushindwa Kunufaika Kikamilifu na utajiri wa Gesi Asilia Uliopo

    Inasikitisha utajiri wa gesi uliopo kati ya lindi na mtwara lakini wananchi wake wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa
Back
Top Bottom