Brother mshana Mimi nimemalza shule hasa kidato cha nne tangu mwaka 2012 ila sasa nmekuwa nikiota ndoto npo shule alafu Naota tumefanya mtihani mfano wakuvuka kidato alafu Mimi inatokea nimefeli kuvuka kidato... dah kwakweli uwainaniumiza sana msaada wako plz.. Bro
Juzkati ulitokea moto mbagala uliteketeza frame/maduka kama kumi na ulikuwa in moto mkubwa sana duu nikaenda kutega sa2 nione waktangaza aloo sikuskia hata wakiongelea ishu ya moto mpaka apo nikawavua vyeo..
Nimetengwa na ndugu na marafiki apo zamani nilikuwa namarafiki wengi na ndugu pia walinipenda.
Ila cha ajabu saiz naweza kusema sina marafiki kabisa baadhi ya ndugu pia wamenitenga ninachekwa kwa mambo yauongo nadhalauliwa kilamtu ananiongelea vibaya kwa maneno tu yakuskia kwa watu
Nashukuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.