Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
YapYap,,,yupo na SZA,,
Unaionaje ili ngoma.
Halafu kijana nae n illuminat?
YapYap,,,yupo na SZA,,
Ukiwazungumzia Kendrick na Drake kwa sasa ni sawa na kuwazungumzia Nas na Jay Z respectively,,, kuna mmoja yuko Real na mwingine commecialNdio sasa huko kaimba nini si ndio hayo ya magari sijui na nini
Kuna sehemu anasema I like convertible Bentley's and houses deep the in hills ..
Na nyingine sijui
I used to drive the Acura to school
Now I don't touch the wheel unless it's new
Chief mna kazi sana wafuasi wa Drake
Itabidi tuoane aisee incase jimbo lipo waziSame here
Ndio mkuu,, ngoma kali hasa video,,,isikilize album yote yaani Black Panther,,, aisee kuna ngoma nzuri sana humo kuna ngoma kafanya na wasouth Afrika inaitwa Seasons hao jamaa wakisouth wanaitwa Sijava,Mozzy na ReasonYap
Unaionaje ili ngoma.
Halafu kijana nae n illuminat?
Sawa Chief ,Mtu nishazoea kuwasikiliza kina Tupac ,Nas nk Kendrick ama Jcole ndio nitakuwa makini kuwasikiliza kina Drake labda nikiwa viwanja huko ndio nisikilize nyimbo zakeSi kila mtu anaelezea hali yake.
K lamar yeye ana yake na drizzy nae ana yake. Mmoja katokea kwenye race yenye matatizo ya kila aina wakat mwingine katokea kwenye race inayosemekana kuwa race bora duniani. So lazima uandshi wao utofautiane.
Na yeye yupo kwenye chama la wana the illuminat?Ndio mkuu,, ngoma kali hasa video,,,isikilize album yote yaani Black Panther,,, aisee kuna ngoma nzuri sana humo kuna ngoma kafanya na wasouth Afrika inaitwa Seasons hao jamaa wakisouth wanaitwa Sijava,Mozzy na Reason
Kendrick Lamar namkubal sanaa uyuu jamaa ni mbayaaDrake noma sema team kendrick lamar hawatokuelewa
Itakuwa mkuu,,,Na yeye yupo kwenye chama la wana the illuminat?
So far kila mmoja yupo vizur kivyakeSawa Chief ,Mtu nishazoea kuwasikiliza kina Tupac ,Nas nk Kendrick ama Jcole ndio nitakuwa makini kuwasikiliza kina Drake labda nikiwa viwanja huko ndio nisikilize nyimbo zake
Anyway kila mtu ana machaguo yake
Achana na POROJO...Si kila mtu anaelezea hali yake.
K lamar yeye ana yake na drizzy nae ana yake. Mmoja katokea kwenye race yenye matatizo ya kila aina wakat mwingine katokea kwenye race inayosemekana kuwa race bora duniani. So lazima uandshi wao utofautiane.
Kubana pua ndio kunakosababisha Drake azidi kutunisha account kuliko K Dot anayekomaa na echiaipi echiopi ngumuAchana na POROJO...
HUWEZI kumfananisha Kendrick na na mbana pua kama Drake..!
Acha kumfananisha Kendrick na vitu vya KIJINGA..!Kubana pua ndio kunakosababisha Drake azidi kutunisha account kuliko K Dot anayekomaa na echiaipi echiopi ngumu
Sawa meneja wa k dotAcha kumfananisha Kendrick na vitu vya KIJINGA..!