Hizi sio ndoto za kawaida

Hizi sio ndoto za kawaida

IMG_20180312_075408.jpeg
if ur a christian ,pls ...nakusihi tafuta kitabu hiki kitakusaidia!

Unless utaishia either kupewa tafsir zisizo sahihi or ujumbe utapewa sio sahihi
Mbaya zaidi,solution ndo kabisaa hutapata vile inavyotakiwa
 
Unatokaje kwenye hali hii kama umekutwa nayo
Pole
Lkn naomba nikusaidie sio tafsiri zote humu ni kweli nyingine ni chska bivu! Kufasiri sio kila mmoja anaweza wengi waongo!

Baba yako alikwambia uwaache! Muulize vzr sio nyoka hao ,ur dad knws!
Kuna kitabu kizuri sn kitakusaidia,uachane na hizi maana zisizo na uhakika!
 
Kuna mahali nimesema ukubali kila ninachoandika... Acha izo wewe... Jibu shimo linakuwaje nyumba kwenye ulimwengu wa roho achana na majigambo ya kujua sana.. Hapa ni hoja kwa hoja sio mipasho... Twende kwa hoja fafanua tetea maandiko yako
Achana nae huyo haelewi kitu chaka tupu
Nawashauri aliowapa tafsiri wawe makini!
 
Me ni muoga wa Simba na kupitia somo la Lucid Dreams nilliweza control ndoto zangu sasa kwa muda mrefu nimekuwa nikiwa naota na nataka kuimaliza ndoto basi lazima niote simba katokea kataka kunikamata ndipo hustuka!.
Sasa hivi naona huyu simba kanijulia ubovu wangu maana anaweza tokea hata kipindi simuhitaji na kweli akinikamata basi nitashtuka, kuna muda naweza shtuka hata saa 8 usiku wakati zamani ilikuwa ni mida ya asubuhi tu!.. Hii ina maanisha nini kwanza halafu nawezaje kujitoa kwenye hili!?.. Rakim Mshana Jr
 
Mshana Jr na Wadau wengine, poleni kwa majukumu.

Nilikuwa na rafiki yangu mchana wa Leo tukipata lunch, katikati ya mazungumzo akaniambia jana aliota ndoto ya ajabu Sana. Aliota ya kuwa analishwa chakula, wakati chakula kinakaribia kuisha, mwishoni mwishoni anaona kinyesi kwenye chakula kile.

Akastuka kutoka ndotoni, tumbo likawa linamuuma ajabu, lakini Sasa limepoa. Nilikosa majibu, nikaona kwa vile humu Kuna watu mbali mbali na wataalamu wa masuala ya hapa na pale mnaweza kuwa na majibu ya ndoto hii!

Shukrani....
Kalishwa kweli kinyesi na ndo maana ht aliposhtuka tumbo lilikuwa linamuuma!

Madhara anaweza asiyaone ss lkn trust me kilichoingia sio kizuri, kina madhara!
.mwambie aombe ili kuondoa hicho alicholishwa na madhara yake!
Pia aombe Mungu alinde lango la ndoto ili adui asipitishe vitu vyake
 
Na ndoto ya kuota uko darasani unasoma tena uko sekondari wakati ulishapita muda mrefu hiyo level inamaana gani nayo?
IMG_20180312_075408.jpeg
ndoto za shule zilinitesa
Hiki kitabu kina majibu mengi yatakusaidia
 
Mtu anaota watu waliokufa anaona ni sawa tu ,anafurahia kumbe kuna roho za msuti,mizimu zilizobeba hiyo sura ya mtu anaemjua either ndugu ,mzazi nk
 
Kuna rafiki yangu kaota kitu kinamvaa usiku, miguu yote ikajaa ganzi, na aliona MTU anakuja kumnyanyua akitokea kwenye kona ya chumba walicholala wengine, mmoja akatupa suruali rangi ya kijani!!! Ndoto hii INA maanisha nini?
Suruali ya kijani tena
 
Achana nae huyo haelewi kitu chaka tupu
Nawashauri aliowapa tafsiri wawe makini!
Ameni challenge kuhusu elimu yangu, nikamuwekea link lakini akaiponda... Lakini nukamuomba naye afanye kama mimi. Loh akaishia blah blah
 
Brother mshana Mimi nimemalza shule hasa kidato cha nne tangu mwaka 2012 ila sasa nmekuwa nikiota ndoto npo shule alafu Naota tumefanya mtihani mfano wakuvuka kidato alafu Mimi inatokea nimefeli kuvuka kidato... dah kwakweli uwainaniumiza sana msaada wako plz.. Bro
 
Back
Top Bottom