Kiukweli trump amechapia kwa hili sababu ili jambo litaleta Vita kali kati ya nchi za kikristo na za kiislamu na pia inakuaje anatatua jambo kwa maslahi ya upande mmoja bila ata ku consult UN
Am really interested in this business and thanks alot for the knowledge but I really wish one day the knowledge u have give me to help me toward goals.thanks alot
Ila kiukweli vita za kidini hazina mantiki kwenye hii dunia sababu kila mtu ananjia yake ya kumuabudu mungu awe mkrisgo au muislamu mungu ni yule yule.
Ukweli ni kwamba rais anamaamlaka ya kumvua mbunge nafasi na kuchagua mwingine mda wowote maana mbunge hana security of tenure ambayo ni kinga waliyonayo watendaji wakiserekali ambao wenye kinga hio hawawezi fukuzwa pasipo kusikilizwa na kufata utaratibu husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.