Recent content by John Kombo

  1. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Prof. Muhongo ndio unaondoka na umeme!

    Mwanza pia umeme ni shida, unakatika kila mara
  2. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli awasamehe waliosimamishwa TBC kwa Kosa la Kusema Trump kamsifia Rais Magufuli

    Duh, kama ni basi habari nyingi sna huwa wanapika, ndiyo mana watu hawatazami siku hizi
  3. John Kombo

    JamiiForums Tanzania TUCTA kwenda mahakamani kuzuia Serikali kukata 15% badala ya 8%

    Leo wamekutana na mkuu, nilitarajia watazungumzia hayo mambo ya 15%, annual increment, kusimamishwa kwa wafanyakazi bila utaratibu matokeo yake wameishia kukenua meno
  4. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Muhimili wa 5

    Nn
  5. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Wafahamu Wanefili (majitu makubwa) walioitesa dunia hadi Mungu akaamua kuwaangamiza

    Kwetu hela zinatolewa kitafiti namna ya kukandamiza watu
  6. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Wafahamu Wanefili (majitu makubwa) walioitesa dunia hadi Mungu akaamua kuwaangamiza

    Ndiyo serikali zao zinajali utaalamu kwa kutenga fedha kwaajili ya kufanya tafiti kwa madhumuni ya kusaidia ulimwengu.
  7. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Jumba ghorofa tatu lipo sokini

    Mbona naona picha ya nyumba yenye ghorofa 2, tupia picha za hiyo unayozungumzia yani yenye ghorofa 3
  8. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani nitaingia DSTV bure

    ّةظنثاتم
  9. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Tanzania yagoma kusaini EPA, Mungu Mkubwa!

    Mimi naona tujitoe hata kwenye WTO mana nayo lengo lake ni kama EPA, mfano hatuwezi uza dhahabu duniani mpaka upate chapa ya barrick.
  10. John Kombo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi ni msichana, natafuta mchumba

    Mi nina above 30, sina mchumba wala girl ila nina mke, so karibu dada mana natafuta mchumba
  11. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Siku hizi Mashuleni unakuta magari yameegesha tofauti na kipindi cha nyuma

    Hayo madogo, vipi maajabu ya mbio za marathon zilizofanyika Dar takribani wiki moja au mbili zilizopita na maajabu yenyewe ni kuwa washindi waliyotangazwa hawakushinda mbio hizo. Washindi halali mpaka leo wamepigwa na butwaa,
  12. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Mabasi yanayokimbia sana kwa sasa Tanzania

    Kukimbia siyo tatizo, tatizo ni miundombinu mibovu ya barabara zetu
  13. John Kombo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu

    Nenda kaichukue, ulikuwa nampa ya nini?
  14. John Kombo

    JamiiForums Tanzania Samatta na Clouds Fm

    Msaada, Hivi soka la tanzania linasimamiwa Clouds FM au TFF? Nilidhani serikali na Tff ndiyo ingekuwa na dhamana ya kupromote na kumwandalia sherehe Samatta, au claude fm wameona fursa wanataka wapige mpuga kupitia Samatta? Mana sasa hv hatusikii diamond wala ally kiba, wasije wakamtumia kama...
Back
Top Bottom