Msaada, Hivi soka la tanzania linasimamiwa Clouds FM au TFF?
Nilidhani serikali na Tff ndiyo ingekuwa na dhamana ya kupromote na kumwandalia sherehe Samatta, au claude fm wameona fursa wanataka wapige mpuga kupitia Samatta?
Mana sasa hv hatusikii diamond wala ally kiba, wasije wakamtumia kama...