HICHO KITU HAKIWEZEKANI KABISAWadau nilikuwa naomba msaada wa namba ambazo nasikia ukiweka kwenye king'amuzi chochote haswa cha startimes unaweza kuona channel za DSTV free.
Hivi ni kwa nini watanzania wengi wanapenda sana vitu vya mkato!?
Umezidishaa zalaukwa sababu wengi ni WAFUPI
HICHO KITU HAKIWEZEKANI KABISA
Huwezi nasa channel za dstv kwa kingamuz cha startimes totally impossible unless unataka kutapeliwaWadau nilikuwa naomba msaada wa namba ambazo nasikia ukiweka kwenye king'amuzi chochote haswa cha startimes unaweza kuona channel za DSTV free.