Recent content by John dillinger

  1. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Martinez au raya mkuu😂😂😂😂
  2. John dillinger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nyie nafasi yenu ndo hyohyo mzee … we unawategemea kina yoro na dorgu na mount afu unawaza top 4 unachekesha mkuu😂
  3. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Weeeee acha bwana 😂 ngoja tuone
  4. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Eze alionekana ule muda anatoka ndo tukagundua kumbe alikuwepo😁
  5. John dillinger

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Yaan kona zao zilikuwa chakula kwa sanchez tu maana ilipunguza idadi ya wachezaji wa arsenyeto kwenye box😂 maresca safi sana
  6. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie hata hamsumbui watu mzee We endelea kujipa moyo hvyohvyo na km ulikuwa makini jana ile njia yenu ya kutegemea mipira ya kona ishapatiwa jawabu jana mpk kufanya arterta kakosa plan b😂 …..ngoja mkutane na timu za midtable huko maana tushawafungulia code kudefend set pieces
  7. John dillinger

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nyie ndo acheni kujifariji wazee wa kubottle specialist in failing( in mourinho’s voice)😂
  8. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    wazee wa kubottle ligi bwana Mara oooh barca walikuwa 10 ndo mkawafunga haya sawa wanaume walikuwa 10 mbona mlishindwa kuwafunga , …nyie jamaa ngoja ifike mwezi wa 3 tutaanza kusikia kelele za arterta😂
  9. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sasa kwani kumaliza nafasi ya 12 ndo nini mkuu au umesahau tulishawahi kumaliza nafasi ya 10 akajaga conte tukachukua kombe la epl msimu uliofuata hyo ndo maana halisi ya ambition
  10. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwahyo na nyie kuongoza msimamo wa ligi ndo mnajiona mabingwa wa kihistoria ilhali tunajua na mnajijua nyie ni bottlers tu 😂
  11. John dillinger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kabla ya red card asilimia kubwa chelsea walikuwa wanacontrol mchezo ukijumlisha na yale magoli mawili yaliyokataliwa inaonyesha walikuwa wanashambuliwa jamaa ana husda sijui😂
  12. John dillinger

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Na nyumbu watakuja kuwala kama kawa
  13. John dillinger

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wanafikiri kila siku Kuna miracles.....na Jana waliongezewa dakika nyingi kama kawaida yao wanaposaka ushindi wakaishia kufungwa wao😂
  14. John dillinger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    No the problem is allypipi's predictions😂😂
  15. John dillinger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tatizo kumbe lilianzia hapa😂😂😂
Back
Top Bottom