Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu itoshe tu kusema kwamba Arteta hajifunzi kutokana na yaliyotokea

Huu msimu wa 3 au wa 4 anashindwa kupata matokeo ya ushindi kwa villa
 
Back Four imevurugika.

Ni mechi ya pili kufungwa bado Arsenal itakuwa sawa.

Next ni nyumbani dhidi ya Wolves.

CYGs!!
 
December uwa haituachi salama
Ni mwezi umekaa vibaya.

10th December ni CL na Club Brugge (Away)

13th December VS Wolves (Emirates)

20th December Vs Everton (Away)

27th December VS Brighton (Emirates)

30th December Vs Aston Villa (Emirates) mzunguko wa pili waanza.

Pia kuna mechi na Cystal Palace ya robo fainali ya Cup.

Hivyo December ni mwezi mgumu kwahiyo resilience is the key.
 
Hii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal

Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
Ndio maji yanaanza kuzidi unga
 
Back
Top Bottom