Habari wapendwa mimi ni mama wa mtoto mmoja sasa ni miezi nane yapita tangu mimi na mwenzi wangu tuanze kutafuta mtoto , katika kuhangaika kuna mtu akamshauri atumie mbegu za nyonyo akatumia lakini hatukufanikiwa , nashindwa kuelewa tatizio ni nini naombeni msaada wa mawazo .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.