Mwanaume fahamu haya

Write your reply...kila mwanamke na akili yake wengine kila kitu unawafanyia lakini bado atazingua tu sasa unabakiwa na kitu ki1 ambacho ukuwahi kukifanya kwake "KUMWACHA" maana hicho ndicho anastaili
 
Kuishi nanyi kwa sasa hakuna tofauti na michezo ya biko na 3 mzuka...!!...tuendelee tuu itakavyotokea ndio hivyohivyo life goes on...
 
Yaani unawaruhusu kucheat kabisaaaa. Akili za wanawake wengi zishaharibiwa na hiki kitu.
 
Back
Top Bottom