Wanawake kama hawa wapo kweli?

Wanawake kama hawa wapo kweli?

mshipa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
12,401
Reaction score
23,191
IMG_20180323_072104.jpg
 
Mimi nikikutaga hela lazma nimwambie ila hilo swala la risiti ya guest hiyo special case.
 
Hizo pic asaivi wanatengeneza afu wanazipost Tu.
Huo ujinga hamna siku hizi
 
Hahaha wapo kama wakina demiss ...sa kwa yule mganga aliyemuoaa ataachaa kuandikaa hivyo??
 
Dunia imechafuka sana. Wanawake wengi wanatamaa ya pesa.

Ila amini nakuambia, wanawake wanaojielewa wapo!

There is always a daisy among the weeds!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom