Hivi unajua kama unajibu kwa id yako nyingine?Nimekasirika mtu unashida wao wsntaja millions.
JamiiForums Invisible
Hivi unajua kama unajibu kwa id yako nyingine?Nimekasirika mtu unashida wao wsntaja millions.
hahaha bas kazi ipoo#naye mungu alivyo mkubwa unakuta unakuwa unapambana na mwenzako mwenye figisu kama zako wote mnapambania mtu 1# sisi tunakuwa tunawachora tuEve lady sio yangu ila ni mekuwa emotional halafu kwani ni mbaya nikiwaloga mi wakike lazima tu waseti.
Hadi Maandishi yanafanana huenda ni yeye..Iyo ndo id yako nyingine eeh
Sikushauri kabisa ujishughulishe na hao watu, utaishia kupigwa ama kuingizwa kwenye maagano mabaya kabisa... Ama la kila mmoja atautumia mwili wako kutest ndumba zake mwisho wa siku badala ya kutengeneza unajikuta unaharibu zaidiMambo zenu
Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo.
Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi?
Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80.
Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu.
Dah warongo tu Mungu atanipa mkweli siku moja ila sio hao.
Mganga hajigangi!!Mambo zenu
Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo.
Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi?
Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80.
Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu.
Dah warongo tu Mungu atanipa mkweli siku moja ila sio hao.
Kweli kabisa sio uongo ni kweli halafu unakuta wanatest ujuzi wao na hela zako.Sikushauri kabisa ujishughulishe na hao watu, utaishia kupigwa ama kuingizwa kwenye maagano mabaya kabisa... Ama la kila mmoja atautumia mwili wako kutest ndumba zake mwisho wa siku badala ya kutengeneza unajikuta unaharibu zaidi
Ndio mnavyosema ila ukienda ml utatoa wapi??Mganga hajigangi!!
Eh mimi ni katoto kazuri tena naitwa huku katoto kachawi we ongea ongea tu nitakuendea waulize wenzako.Hadi Maandishi yanafanana huenda ni yeye..
Ndio mimi nikatoto kazuri nanina taka kuwa mchawi.
unamaana gani kutoa 1.5t kwanini usingesema bilion mbili au tatu??Hivi tunavyoongea kuna mtu hata akiambiwa apeleke T1.5 ili mambo yawe mazuri atazitoa.
😀😀😀Eh mimi ni katoto kazuri tena naitwa huku katoto kachawi we ongea ongea tu nitakuendea waulize wenzako.
OkayEh mimi ni katoto kazuri tena naitwa huku katoto kachawi we ongea ongea tu nitakuendea waulize wenzako.
Uchawi gharama..Ndio maana wenzako huwa wanaamuaga kuwa walokole tu.Mambo zenu
Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo.
Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi?
Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80.
Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu.
Dah warongo tu Mungu atanipa mkweli siku moja ila sio hao.
Mchawi na mlokole Nani nomaUchawi gharama..Ndio maana wenzako huwa wanaamuaga kuwa walokole tu.
Noma kwenye lipi?Mchawi na mlokole Nani noma
Nguvu za kirohoNoma kwenye lipi?