Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,388
- 1,058
Pensi zipo tokea miaka mingi tu, punguza jazba
Siku hizi ofisi imehamia Indoors.Umeacha? Kwanini?
Itabidi muache kuvaa tuu, raha ya pensi mguu uwe unalipa banah.Vipi sisi wenye miguu kama miwa lakini tumo kwenye wavaa pensi?!!
Navaa ndani tu na miwa yangu.Itabidi muache kuvaa tuu, raha ya pensi mguu uwe unalipa banah.
Ahahahaaaaaa haya banahNavaa ndani tu na miwa yangu.
Inaonekana wanakuvutia...Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .
Kwa hiyo wenye mnyoya ndio wanavaa pensiKama hauna makovu au nywele nyingi basi uwe na hata donda ndugu then unapiga pensi ili kidonda kipate upepo.
Pensi kama nguo nyengine anayovaa mwanaume, joto lote hili kuvaa pensi.Broo Kama hauna Miguu ya kuvalia Pensi Kaa Kimya Tu, Maana Kukomaa kwa miguu au kuwa na makovu na minywele kibao sio ishara ya uanaume bana.
Pensi Pensi Tu na linavaliwa kila mahali ili mradi uwe naweza ku-match nalo kwa mwonekano.
Kama maisha umepitia magumu afu umejwa na makovu niwewe peke yako.
Kuna siku nimevaa pensi nipo katika daladala nimekaa na mdada mmoja for sure aliniomba mawasiliano hadi kesho nawasiliana naye kisa tu.
Kapendezewa na miguu yangu nilivyovaa pensi.
Jamaa yangu mke wake hataki jamaa avae pensi akiwa peke yake maana anasema anaona wivu haswaaaa.
Broo pensi zitavaliwa tu Kwa namna yoyote.
Unaweza ukawa mgumu na bado ukawa kama shoga tu.
Na unaweza uka soft na bado ukawa mwanaume wa shoka vile vile.
Sasa kama nyumbani mtu anapetiwa vizuri na mke wake atashindwaje kuwa soft?
Sometimes Wanaume wasiozijua Ndoa Wanamatatizo na stress za Ubachela