Utafiti uliyofanywa kuhusu "New Year Resolutions" (Malengo ya mwaka) unaonyesha asilimia kubwa (karibu 88%)ya watu wanao weka malengo ya mwaka hawatimizi malengo yao, only 12% ya watu wanao weka malengo ya mwaka ndiyo wanafanikiwa kuyatimiza.
" Siyo matokeo ya kufurahisha".
Lakini ukijaribu...
Hii ni Taasisi inayojishughulisha na uelimishaji, kuelekeza na kutoahamasa za kimafanikio katika maeneo mbali mbali ya kimaendeleo.
Naamini uko tayari kuukabili mwaka mpya wa 2016, naamini mambo ambayo tulijifunza na tutakayojifunza yatatusaidia kuwa na na mwaka ulio bora zaidi, na wenye...
Ndani ya posti hii nimejifunza mambo mengi ya muhimu ambayo yatanisaidia sana katika kuifikia ndoto yangu ya kuwa mjasiriamalimkubwa.
Inaelezea tabia ambazo wengi wetu tunazo, na hizo tabia ndizo zinazopelekea kuamua sisi ni aina gani ya ya watu.
Kumbuka, "Daraja kati ya mtu na malengo/Ndoto ni...
"Problems cannot be solved with the same mind set that created them"
-Albert Einstein
Wakati tunajiaandaa kumaliza mwaka, na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, changamoto zetu za maisha ni moja kati ya mizigo tunayo ibeba kuelekea nayo kwenye mwisho wa mwaka, swala muhimu la kufahamu hapa...
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa kuupangia matumizi ya huo ujuzi wako.
Ndio maana licha ya kwamba elimu ni yako wewe, maarifa ni yako wewe, vyeti ni...
Pata kitabu kitakachokupa maarifa yoote unayohitaji kama mjasiriamali katika ulimwengu wa sasa hapa Tanzania.
Jifunze njia mbalimbali na aina tofauti za biashara ambazo unaweza kufungua. KWA MUJIBU WA SHERIA ZA NCHI.
Unaweza kukipata kwa kunitafuta kwenye namba hizo hapo, au kwa ku-comment...
Pata kitabu kitakachokupa maarifa yoote unayohitaji kama mjasiriamali katika ulimwengu wa sasa hapa Tanzania.
Jifunze njia mbalimbali na aina tofauti za biashara ambazo unaweza kufungua. KWA MUJIBU WA SHERIA ZA NCHI.
Unaweza kukipata kwa kunitafuta kwenye namba hizo hapo, au kwa ku-comment...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.