Wangetoa tu kama hawawez haina maana kueka huduma ambayo humudu kuitoa kwa wateja wako
Ata notification ya email kwa wale watumia internet BAnking n ovyoooo
Una access saa 5 asbh inakuletea notification kua acc yako ilikua accessed saa 3 usiku
Nimepata same scenario.....ni wapuuzi sana sanaaa na wanakera mno nmeshaenda tawini kwao ad nmechoka nmepiga simu majibu n subiri 24 hrs
Shwainiiii kabisaaaa
Wako ovyooo zaid ya ovyoooo
Mimi binafs siamini kama Ben yupo hai ad sasa iv kwa sabab n ngum sana kutunza mateka kuliko kumteka....
Na why wamueke ad sasa!?
Kwa utawala huu hawez kua hai
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.