Siku zote msema ukweli ni mpenzi wangu. Nianze kwa kukupongeza raisi wangu Magufuri maana jambo hili ulilofanya sio jepesi. Umeweza kuwaondoa watumishi wenye vyeti feki ili kusimamia haki na usawa kwa watanzania wote.
Lakini raisi ni wazi kwamba wote waliofukuzwa hawatokupenda magufuri lakini...
Wanajamvi katika siku za hivi karibuni kumekuwa na maandamano na matamko mengi kuhusu kazi za bongo movie na movie za nje (kikorea) lakini watu hawa wanaoandamana walikosa uwakilishwaji mzuri wa hoja zao mpaka kufika mahali watu kutowaelewa.
[emoji117]UKWELI ni kwamba ni kwel kazi za movie za...
Zuio hilo limekuja mara tu baada ya serikali ya Kenya kutaka kuajiri madaktari kutoka Tanzania.
Sababu ya katazo hilo ni kuwepo kwa madaktari nchini Kenya 1400 ambao bado hawajaajiriwa.
Nashindwa kukuelewa umemaanisha nini???
Unavyosema pikipiki zilipiwe motor vehicle ndio nini??
Kwa kawaida kwenye ulipaji wa kodi 'pikipiki' huitwa motor cycle na magari yote yenye matairi kuanzia matatu na kuendelea huitwa 'motor vehicle' vitu hivi vyote vinalipa kodi.
Sasa embu weka maoni...
Wa ndugu naleta kwenu vipaumbele vya bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018 ambavyo vimetajwa na waziri wa fedha. Vipaumbele hivyo ni.
1.Ujenzi wa Reli
2.Kuhuisha ATCL
3.Ununuzi wa ndege
4.Mradi wa Liganga
5.Kuhamia Dodoma
6.Kuanzisha kanda maalumu za kiuchumi.
Je kwa vipaumbele hivi maisha ya...
Jiandae utubu mapema kabla umauti haujakufika...maana wote wafanyao kinyume na maumbile yaliyohalalishwa basi hatomuona allah!!! Tubuni wakati ndio huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.