Recent content by jesacho

  1. J

    Swali kwa wanawake, yupi mwanaume bora, mwenye kuongeza mke wa pili au mwenye kuchepuka?

    hata mm pia nashangaa mwanaume asiyechepuka anahusishwa na ugonjwa Wapo wanaume wasiochepuka na ni wazima kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    Ahadi hewa ya ajira

    ni rahisi kusema watu wajiajiri, unajiajiri vp na huna mtaji.... poleni mnaosubiri ajira.......
  3. J

    Hivi hiki ni kitenzi kishirikishi?

    nakubaliana na wewe
  4. J

    Hivi hiki ni kitenzi kishirikishi?

    sentensi ipo vzuri....
  5. J

    Hivi hiki ni kitenzi kishirikishi?

    sasa ukisema kitenzi kisaidizi ni lazima kuwe na kitenzi kikuu ....mbona hakuna kitenzi kikuu hapo ...nikitenzi kisaidizi kivip
  6. J

    Hivi hiki ni kitenzi kishirikishi?

    wanafunzi WALIKUWA shambani. naomba kujua kama kweli neno WALIKUWA ni kitenzi kishirikishi au la
  7. J

    Kulikoni Zanzibar na Muungano

    Najiuliza tu hivi swala la Muungano limekaaje hapo wakati Zanzibar wanashughulikia wenyewe matatizo yao. Asante.
  8. J

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    hiyo haina ubishi wachache sana ambao wamefurahi
  9. J

    Ushindi wa Rais mteule Dk John Magufuli wafunika kimataifa

    yaaan acha tu inauma sana ila ndo hakuna jinsi........eti rais mteule aliyechaguliwa na wananchi...
  10. J

    CCM Wapokea Kadi za Wapinzani / UKAWA kwa Malundo

    du hata ishirini zinafika kweli?
  11. J

    Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

    hukuona tatizo pro maji marefu kuwa mbunge
  12. J

    CUF wasema Bai Bai UKAWA wajiunga na CCM

    yan hao vijana kwa kweli nna mashaka nao wanaonekana kama ni wahuni tu.....choka mbaya....kweli siasa ni mchezo mchafu
  13. J

    Watanzania tusimpuuze Dr. Slaa kasema kweli, kumbuka yule alikuwa katibu wa chama anajua kila kitu

    umenifurahisha sana.......hyo ni point ya msingi haifai kupuuzwa hata kidogo
  14. J

    Twaweza wakwepesha jina la anayeongoza

    mwaka huu kuna changamoto ya kutosha na mpira bado unadundadunda.......EL ndo chaguo langu
Back
Top Bottom