Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo
Nafikiri wewe ni katika wale wanaoamini kuwa ubunge, uwaziri na vyeo vingine ni nafasi ya watoto wa vigogo
hatuhitaji Degree ya Nyuklia kusemea matatizo ya maji ya kisarawe.
 
11934997_868700319872342_8822453722846484024_n.jpg

pia nimeuza nyumba za serikali kwa bei chee bila kusahau pesa zilizoenda kwenye
miradi hewa ya bara bara ole wake profesa assad kwa kuniumbua.
 
Kila nikimuona kingwendu nacheka hakika kura atapataa
 
Kingwendu ni Diploma holder, kwa hiyo sio wa kumdharau.
Aliamua kuwa muigizaji baada ya kuacha kazi TBL
 
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo

Soma katiba na ibara yake
Sifa za mtu anayestahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa mbunge. Kisha uache kubwabwaja.
 
CCM watajuta kufanya umaskini wa Watanzania kama mtaji wao wa kuendelea kutawala.Yeyote mwenye uwezo na alete mabadiliko.
 
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo

Kwa lipi uone Kingwendu hafai na haujasema kama Lusinde au January wametoa msaada upi kwa taifa hili.
Hivi hao Maprof. na MaPhD wa CCM wametusaidia nini zaidi ya kupora kisomi rasilimali za nchi hii..!!!
 
Kwa lipi uone Kingwendu hafai na haujasema kama Lusinde au January wametoa msaada upi kwa taifa hili.
Hivi hao Maprof. na MaPhD wa CCM wametusaidia nini zaidi ya kupora kisomi rasilimali za nchi hii..!!!

Hawa ndio mapumbavu wanaotusingizia sisi upumbavu wakati wao na fikra zao za kuendeshwa na watoto wa matajiri ndio wapumbavu na malofa.Viva Kingwendu...
 
Nimegungua vijana wa ukawa wengi ama uwezo wao ni mdogo au hawakusoma shule sababu hata kuandika kiswahili kwao shida. Natabiri kura zao nyingi kuharibika sababu ya kutojua kusoma na kuandika. Magufuli oyee
 
Kiswahili kinapotea kabisa yaani mtu timamu kabisa anaandika kisalawe.... badala ya Kisarawe

Hilo ni jina na wala si jina la Kiswahili, acha kupotosha. Wenyeweji waliotoa jina hilo wala hawana herufi "r" kwenye matamshi yao. Hivyo aliyeandika Kisalawe yuko sahihi zaidi (kwa maana ya jina) kuliko wewe uliyekariri Kisarawe eti ni Kiswahili. Hilo limetoholewa na wakuja waliotangulia kusoma kabla ya wenye jina. Ni kama walivyotohoa majina Tabola (kuwa Tabora), Mnogolo (kuwa Morogoro) na hata Idodomya (kuwa Dodoma).

Jambo usilo na uhakika nalo usiparamie

Hivi kama Kisarawe ni Kiswahili, kwa Kiingereza, kwa mfano, utaandikaje jina hilo. Usijidhalilishe kadamnasi.
 
Napenda kutangaza rasmi kwa niaba ya watanzania wote nimemsamehe LOWASSA na nampa kura yangu
 
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo
Wacha wivu mkuu. Tumewapa Ubunge watu wenye ma Phd na tulichoambulia ni kupigana kama watoto. Am sure Kingwendu can do better.. Slogan kwa Kingwendu basi " Ulipo Tupo"
 
Back
Top Bottom