Recent content by Jerry santonga

  1. Jerry santonga

    Nina degree ya IT, natafuta kazi yoyote nipo DSM

    Je unaweza kutengeneza App /website nijibu kabla sijakupigia kukupa mchongo
  2. Jerry santonga

    Nina degree ya IT, natafuta kazi yoyote nipo DSM

    Kila lakheriiiiii...Mungu akutangulie
  3. Jerry santonga

    Chimbo gani kuna AC na unaweza pata kinywaji, lunch yako na kufanya kazi zako mbili tatu?

    Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
  4. Jerry santonga

    Mwanaume mwenzenu leo nimeaibika

    Askari anafariki taratibu chukua hatua mara ukisoma huwa haurudi nyuma Hapo askari wako anakata roho taratibu
  5. Jerry santonga

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    MD wanashinda kitambaa cheupe na buckets za S.Lite shenzi sana hao walipe hiyo mzee
  6. Jerry santonga

    Kufanya biashara sio Jambo rahisi, mtaji pekee sio lolote

    Hapo kwenye kibali yaan Entrance nimeelewa sana mtu achague mwenyewe nyeupe au nyeusi...Entrance kibali ni muhimu maagano mafungamano
  7. Jerry santonga

    Tuliosoma nje ya nchi tunanyanyapaliwa sana

    Hebu toka halmashaurii kwanza
  8. Jerry santonga

    Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

    Akaenda kujisongobeka kwenye gari aina ya mfukunyu Mfukunyuuu ni magari yanayobeba silaha nzito nzito......#Ngoja nikasubale kwanza
  9. Jerry santonga

    Kwanini Eva hakushtuka alipoanza kusemeshwa na nyoka pale bustani ya Eden?

    Ukweli wameuficha huwezi kuujua 0-9 ndio mwisho sera hamna
  10. Jerry santonga

    Ali goes to strip club

    Ndio akaimba "wakiniona wananiita bwana mdogo" maana sio kwa utoto ule
  11. Jerry santonga

    TANZIA Mwanamuziki Maunda Zorro afariki dunia kwa ajali ya gari, mazishi Jumamosi Aprili 16, 2022

    RIP aiseee hiyo njia ya kigamboni kongowe maroli ni yanaachiwa kama wanawahi kitu gani sijui na kibarabara ni chembamba mno
Back
Top Bottom