Mwanaume mwenzenu leo nimeaibika

Mwanaume mwenzenu leo nimeaibika

Jamaa ana wenge sana ndo shida yaani ukichek movement zake ni kama anakurupushwa na kukurupuka mara condom hana mara hivi yaan bila kupunguza hofu na kuona ni kitu cha kawaida kazi unayo sana
 
Ulianza na romance mkuu au ilikuwa unasubiri maajabu maana inasaidia kuamsha hisia.
 
Niinbox naukupa namna hili anguko letu wanaume siwezi lipokea tumeumbuka ,niinbox nkuambie kitu utamtia hatoamin
 
Nilikutana na huyu binti wa kimwera mrembo na nusu guu la bia na shepu la kuombea mkopo bank yoyote nchi hii tukawa tunawasiliana vizur

Siku moja akaja geto akasema hakai saana akaja nikamshika shika mnara ukawa unasoma 5G ila sikua na condom na Mimi suala la afya ni muhimu akanichezea kidogo nikamwacha akasepa zake

Siku ya pili akaniambia anakuja lakin hakuja nikasema powa siku inayofata akanipigia nikamwambia nipo geto ilikua weekend akaja kwenye mida ya saa 5 asbh nikamwacha ndani nikachukua boda faster kufata condom kurud namkuta nje anataka kusepa

Nikamrudisha ndani kufika akavua faster na Mimi nikavua mtuhani ukaja mkunyenge hausimami kabisa kama dakika kumi ivi demu akavaa akaomba nauli nikampa akasepa. Ata cjui hatma yangu na huyu mrembo Nini

Mwanaume mwenzenu nimeaibika jamani
Mungu wako kakuokoa kuunganishwa kwenye grid ya taifa
 
Wee jamaa nae boya sana, boya mno yaan kaja siku ya kwanza hauna condoms, siku ya pili kakwambia anakuja hata hukwenda kununua, siku ya tatu anakuambia anakuja still hukwenda hadi amefika ndo unajifanya kwenda kutafuta

Be a man, hauna mipango
 
Na mbaya zaid mtoto anaharaka anadai anachelewa..holaa nikabac na panic lakin wap
 
Nilikutana na huyu binti wa kimwera mrembo na nusu guu la bia na shepu la kuombea mkopo bank yoyote nchi hii tukawa tunawasiliana vizur

Siku moja akaja geto akasema hakai saana akaja nikamshika shika mnara ukawa unasoma 5G ila sikua na condom na Mimi suala la afya ni muhimu akanichezea kidogo nikamwacha akasepa zake

Siku ya pili akaniambia anakuja lakin hakuja nikasema powa siku inayofata akanipigia nikamwambia nipo geto ilikua weekend akaja kwenye mida ya saa 5 asbh nikamwacha ndani nikachukua boda faster kufata condom kurud namkuta nje anataka kusepa

Nikamrudisha ndani kufika akavua faster na Mimi nikavua mtuhani ukaja mkunyenge hausimami kabisa kama dakika kumi ivi demu akavaa akaomba nauli nikampa akasepa. Ata cjui hatma yangu na huyu mrembo Nini

Mwanaume mwenzenu nimeaibika jamani

Kaa chini uandike upya
 
Nilikutana na huyu binti wa kimwera mrembo na nusu guu la bia na shepu la kuombea mkopo bank yoyote nchi hii tukawa tunawasiliana vizur

Siku moja akaja geto akasema hakai saana akaja nikamshika shika mnara ukawa unasoma 5G ila sikua na condom na Mimi suala la afya ni muhimu akanichezea kidogo nikamwacha akasepa zake

Siku ya pili akaniambia anakuja lakin hakuja nikasema powa siku inayofata akanipigia nikamwambia nipo geto ilikua weekend akaja kwenye mida ya saa 5 asbh nikamwacha ndani nikachukua boda faster kufata condom kurud namkuta nje anataka kusepa

Nikamrudisha ndani kufika akavua faster na Mimi nikavua mtuhani ukaja mkunyenge hausimami kabisa kama dakika kumi ivi demu akavaa akaomba nauli nikampa akasepa. Ata cjui hatma yangu na huyu mrembo Nini

Mwanaume mwenzenu nimeaibika jamani

Kaa chini uandike upya
 
Askari anafariki taratibu chukua hatua mara ukisoma huwa haurudi nyuma
Hapo askari wako anakata roho taratibu
 
Siku nyingine mwache acheze na mic kidogo utanishukuru, bora umwage haraka kuliko kushindwa kabisa hata kuingiza.
 
Nilikutana na huyu binti wa kimwera mrembo na nusu guu la bia na shepu la kuombea mkopo bank yoyote nchi hii tukawa tunawasiliana vizur

Siku moja akaja geto akasema hakai saana akaja nikamshika shika mnara ukawa unasoma 5G ila sikua na condom na Mimi suala la afya ni muhimu akanichezea kidogo nikamwacha akasepa zake

Siku ya pili akaniambia anakuja lakin hakuja nikasema powa siku inayofata akanipigia nikamwambia nipo geto ilikua weekend akaja kwenye mida ya saa 5 asbh nikamwacha ndani nikachukua boda faster kufata condom kurud namkuta nje anataka kusepa

Nikamrudisha ndani kufika akavua faster na Mimi nikavua mtuhani ukaja mkunyenge hausimami kabisa kama dakika kumi ivi demu akavaa akaomba nauli nikampa akasepa. Ata cjui hatma yangu na huyu mrembo Nini

Mwanaume mwenzenu nimeaibika jamani
Pole mkuu, jipe utulivu na usiwazie sana Fanya kama hakijatokea kitu. Dah..sijui atarud tena?
 
Mungu ananamna yake ya kukuepusha na majanga ya muunganiko wa nafsi. Next akija utashangaa unaanguka kifafa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom