Uhuru Kenyatta naweza nikasema ni mmoja kati ya marais wachache barani Africa wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. 1 kwanza kaangalia kwa ujumla siasa za mataifa yote kwa sasa katika east African 2 akaona kuwa marais wengi wanapigania kujibakisha katika madaraka badala ya kukuza uchumi wa mataifa yao...
Uko sawa kabisa kwa asilimia mia ila nakulaumu elimu hii usingeitoa sasa kabisa maana unawapa ufahamu na mbinu za kujipanga 2020 siku nyingine kamanda usiwe unatoa elimu za kuwafungua akili ccm. Sasa wana akili mbili tu kununua viongozi chadema na kutegemea nguvu ya dola basi
Kwa kweli hii history mimi pia nimeipenda sana haya ndio mambo ya maana kukumbushana dunia ilivyokuwa na ilikotoka na inakokwenda. Siyo yale ya masupastaa wa bongo hata kama kanunua chupi kariakoo ya bei poa utasikia mtu kaja hapa jukwaani ooho flani Kawa millionaire kanunua chupi UK kwa dollar...
Tatizo la jamiiforums sasa hivi imekuwa ya kiccm ccm tu watu wakiikosoa serikali na kurusha picha wanazifuta picha halaka sana lakini hili la watu kuhamishwa kwenye office zao na kuwa ward ya wazazi wameachia picha zote bila tatizo kuweni fair acheni watu watoe mawazo yao bwana mnaboa sana kwa hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.