kitabakilo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 319
- 572
- Thread starter
- #21
naweza kuuchuna lkn waswas wangu isije baadaye ikaja kunighalimu nikalipa pesa nyingi wakakifilisi kikampuni changuEndelea kuuchuna na hizo barua choma moto matapeli hao.
naweza kuuchuna lkn waswas wangu isije baadaye ikaja kunighalimu nikalipa pesa nyingi wakakifilisi kikampuni changuEndelea kuuchuna na hizo barua choma moto matapeli hao.
ebwana eeh sema mtu mwenyewe n mm sio nalenale nawasoma tu mchezo waoKuna watu wametupa jiwe gizani... na sasa hivi litakupata... achana nae... matapeli hao..
teh ! teh ! teh ! teh ! teh !Usisahau kuanza kuwasalimia kwa heshima siku ukiwapigia simu mfn: Thank you ladies and women................
.............................
kwanini mkuu ishawai kukutokea au kusikia sehemuHuu ni utapeli mpya.
Chunga.
siku watakuibukia na matshirt na mzungu pori mmoja. watajidai wametoka kenya kufata computer zao. 😀😀
shukrani mkuu mana hata huyo CLAIRE GRIBBIN me hats simjuiJaribu kwanza kwa kumtafuta Claire Gribbin kwenye Google. Piga simu kwenye ofisi ya Microsoft Nairobi kuulizia. Claire Gribbin wa Microsoft yupo South Africa. Usiingie kichwa kichwa. Inawezekana kuwa ni kweli lakini kwenye ulimwengu wa mtandao wamejificha wahuni wengi sana.
shukrani mkuu kwa ufafanuzi muruaHao matapeli au majambazi bila shaka wana data ya hela zako, pengine kuna mpango wa kukugida data zako kisha ulie kilio cha mende. Microsoft walio halisi wao kawaida wana internal security amabayo ina render your software inactive na hitoweza kutumia vilivyo hasa ku edit document au spreadsheet. Wewe subiri mpaka usikie wito wa kisheria wakufungulie mashitaka kama wao kweli.
TAHADHARI NA SCAMMERS
Zaidi waambie kama umeshaweka report TCRA na polisi.
Wataingia mitini
km nilivyoeleza hapo juu nikama wiki tatu zilizopita walinitumia barua kwa DHL ikitoka katika oficce ya ya kenys kuwa natumia software ambayo siyo genuine na haiko lincesed wakaendelea zaidi na kudai kuwa hadi ifikapo tarehe 15 mwenzi huu nipeleke uthibitisho wa microsofy software zote ninazotuamia ktk oficce yngu kuwa kama zipo genuine(ingawajeea sijui naupeleke wapi huo ythibitisho na ni upi)
barua ni hii![]()
![]()
![]()
mimi nikauchuna 7bu sikujua nini wanataka na ni computer ipi hiyo wanaizungumzia 7bu hapa ofisini natumia computer tatu laptop moja na mbiri desktop na mm kn sotware za microsoft natumia oficce 2007 na window 7 tu sasa sijui wanazangumzia software ipi nashindwa kuelewa
sijakaa vizuri kama siku mbiri zilizopita wamenitumia barua nyingune wanataka wakutane na IT team ili wajadili hili swaLa wakati mm sijamwajiri mtu yoyote wa IT
barua ya juzi ambayo no ya piri ni hii
![]()
wasiwasi wangu najiuliza
wamejuaje location ya oficce yngu mpk kunitumia barua kwa DHL
wakati katika hizi computer sijaingiza information yangu yoyote kihusu hii kampuni yangu na hata mm mwenyewe
pili ninavyojua km ukitumia software ambayo si genuine watakupa taalifa then itahesabu siku zikipungua ka hujalipia mwisho unashindwa kutumia sasa je mbna sion taarifa yoyote na software zote ziko poa
tatu km ni oficce na window mbna natumia computer hizihizi na ni mwaka na miezi km 10 sijawai pewa taalifa hii
wametoa namba nipige ila sijajua nitajieleza vp nimeleta hapa nipate ushauri kbla sijawapigia
maana isije ikawa mataperi nikaingizwa mjini
wanaweza tu kutumia hilo jina lkn yy asielewe kinachoendeleaJaribu kwanza kwa kumtafuta Claire Gribbin kwenye Google. Piga simu kwenye ofisi ya Microsoft Nairobi kuulizia. Claire Gribbin wa Microsoft yupo South Africa. Usiingie kichwa kichwa. Inawezekana kuwa ni kweli lakini kwenye ulimwengu wa mtandao wamejificha wahuni wengi sana.
Sio kwenye kampuni kubwa kama Microsoft.wanaweza tu kutumia hilo jina lkn yy asielewe kinachoendelea
kwan SCAMMER ndo nini mkuu ebu nifafanunulieNidm nikusaidie ni mtaalam wa it ila jua hao ni scammer
Matapeli wa mitandaoni but sio hawa ovyo wa kibongo! Hao ni wataalam wa it kabisakwan SCAMMER ndo nini mkuu ebu nifafanunulie
yap walikuja na mifulana yao ya njano na nikasaini kuthibitisha nimeipokea baruaAwo DHL uliwaona kabisa wakajitambulisha kwako au ulikuta to iyo barua