Recent content by Jephta2003

  1. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Nyumba si watakaa watoto wake?,wasiwasi wa nini sasa?,au sio damu yake hao watoto
  2. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Wafanyausafi wawili wa treni ya SGR wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za wizi wa simu

    Hiyo Samsung AO7 ina thamani ya sh 450,000?
  3. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Boda boda unatoboa,kuna jirani yangu ni bodaboda kajenga kajumba ka vyumba viwili,hivyo ni zaidi ya kula kama alivyosema muanzisha uzi
  4. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Sasa hujafanya sex mwaka na hamu ulikua unapata ili upate nini haswa?
  5. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Fundi anataka milioni 1.2 kuezeka nyumba ya vyumba vitatu

    Tafuta fundi Mwanza wanabei poa sana,gharama ya wewe kumleta tu kuondoka anajigharamia mwenye,kwa nyumba kama hiyo kwa fundi wa Mwanza ni sh 500,000 tu,mtafute huyu anaitwa Kwilasa no 0753581808,mwakbie no nimepewa na jamaa wako wa Luguruni Kibamba
  6. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Bud light ni tamu sana aise nimechelewa sana kujua hili.

    Hii ni bia au soda?
  7. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kulipia Netflix out of curiosity

    Na kwa tv kwa single user bei ni hiyo hiyo au hii ni kwa simu tu
  8. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kwanini mume wa Dkt. Tulia (Dkt. James Andilile) alitumbuliwa, ikiwa mafuta yanapanda bei namna hii?

    Yule wa Tulia alipandisha sh 1,000/ nzima,huyu wa sasa kapandisha sh 200 mpaka 300 huoni tofauti hapo
  9. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Yanafanana sana na mafuta ya taa,tumia kuyapikia yatafaa
  10. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Na Marekani mafuta yamepanda,na wao hawako salama
  11. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Chai,mlinzi hawezi mchoma mfanyakazi mwezake
  12. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Thinking far: Kutangaza uwepo wa COVID-19 ni mkakati wa kutengeneza matukio?

    Covid ipo usibishe bwana
  13. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Ndege zinazostaafishwa huwa zinapelekwa wapi?

    Hili ni swali zuri sana. Mataifa kama Marekani na Urusi yana mfumo maalumu wa kushughulikia ndege ambazo zimefikia kikomo cha muda wake wa kufanya kazi (retirement). Badala ya kuzitupa tu kama chuma chakavu cha kawaida, kuna taratibu kadhaa zinazofuatwa: 1. "The Boneyard" (Makaburi ya Ndege)...
Back
Top Bottom