Recent content by Jephta2003

  1. Jephta2003

    Ndege zinazostaafishwa huwa zinapelekwa wapi?

    Hili ni swali zuri sana. Mataifa kama Marekani na Urusi yana mfumo maalumu wa kushughulikia ndege ambazo zimefikia kikomo cha muda wake wa kufanya kazi (retirement). Badala ya kuzitupa tu kama chuma chakavu cha kawaida, kuna taratibu kadhaa zinazofuatwa: 1. "The Boneyard" (Makaburi ya Ndege)...
  2. Jephta2003

    KERO Wahitimu wa Industrial Engineering Management ya Mzumbe University tunakosa ajira

    Kwenye taaluma ya Industrial Engineering and Management (IEM), mhitimu anakuwa na mguu mmoja kwenye upande wa uhandisi (Engineering) na mguu mwingine kwenye upande wa usimamizi (Management). Hapa kuna uchambuzi wa jinsi ya kumwita mtaalamu huyu: 1. Kitaaluma: Ni "Engineer" Mtu anayesoma kozi hii...
  3. Jephta2003

    Kilichomkuta baba yangu miaka kadhaa iliyopita kisa kuvaa kanzu bila nguo ya ndani, soma ujifunze kitu

    Chai hii,paka hua havamii tu kwa kuona,pia na harufu inahusika
  4. Jephta2003

    Najilaumu kutokununua ardhi Mbezi Kimara kipindi hicho

    Ndio na ni kweli na sio story
  5. Jephta2003

    Najilaumu kutokununua ardhi Mbezi Kimara kipindi hicho

    Acha kudanganya watu,mie nilinunua kiwanja mita 30 kwa 30 kibamba kwa sh 900,000 na hiyo ilikua mwaka 1999 iweje mwaka 2005 iwe sh 50,000 na kimara?
  6. Jephta2003

    Je, mapenzi ya kweli yanaweza kustahimili "mifuko mitupu" katika uchumi huu wa 2026?

    Wakuu, kumekuwa na mjadala kuwa mwanamke hawezi kuvumilia mwanaume asiye na mwelekeo wa kifedha hata kama ana upendo wa dhati. Je, ni kweli upendo pekee unatosha kulinda ndoa au mahusiano, au pesa ndiyo gundi inayoshikilia hisia?"
  7. Jephta2003

    Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Yes ilinyanyua uchumi na kumaliza samaki ziwani,sasa tunafanyaje?
  8. Jephta2003

    Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Habari za muda huu wana-JF, Nimekuwa nikifanya tafakari ya kina juu ya hali ya Ziwa Victoria tangu miaka ya 1980 hadi sasa. Wote tunajua kuwa katika miaka ya 1950, uamuzi ulifanywa wa kumwingiza Sangara (Nile Perch) ndani ya Ziwa Victoria akitokea Ziwa Albert na Mto Nile nchini Uganda. Lengo...
Back
Top Bottom