Recent content by Jephta2003

  1. Jephta2003

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeamua kulipia Netflix out of curiosity

    Na kwa tv kwa single user bei ni hiyo hiyo au hii ni kwa simu tu
  2. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kwanini mume wa Dkt. Tulia (Dkt. James Andilile) alitumbuliwa, ikiwa mafuta yanapanda bei namna hii?

    Yule wa Tulia alipandisha sh 1,000/ nzima,huyu wa sasa kapandisha sh 200 mpaka 300 huoni tofauti hapo
  3. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Yanafanana sana na mafuta ya taa,tumia kuyapikia yatafaa
  4. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Na Marekani mafuta yamepanda,na wao hawako salama
  5. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Chai,mlinzi hawezi mchoma mfanyakazi mwezake
  6. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Thinking far: Kutangaza uwepo wa COVID-19 ni mkakati wa kutengeneza matukio?

    Covid ipo usibishe bwana
  7. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Ndege zinazostaafishwa huwa zinapelekwa wapi?

    Hili ni swali zuri sana. Mataifa kama Marekani na Urusi yana mfumo maalumu wa kushughulikia ndege ambazo zimefikia kikomo cha muda wake wa kufanya kazi (retirement). Badala ya kuzitupa tu kama chuma chakavu cha kawaida, kuna taratibu kadhaa zinazofuatwa: 1. "The Boneyard" (Makaburi ya Ndege)...
  8. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Industrial Engineering Management ya Mzumbe University tunakosa ajira

    Kwenye taaluma ya Industrial Engineering and Management (IEM), mhitimu anakuwa na mguu mmoja kwenye upande wa uhandisi (Engineering) na mguu mwingine kwenye upande wa usimamizi (Management). Hapa kuna uchambuzi wa jinsi ya kumwita mtaalamu huyu: 1. Kitaaluma: Ni "Engineer" Mtu anayesoma kozi hii...
  9. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kilichomkuta baba yangu miaka kadhaa iliyopita kisa kuvaa kanzu bila nguo ya ndani, soma ujifunze kitu

    Chai hii,paka hua havamii tu kwa kuona,pia na harufu inahusika
  10. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Wakazi ahukumiwa kumlipa Baba Levo Tsh. Milioni 100 kwa kumchafua

    Duh,hela yote hii atatow wapi huyu
  11. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM huu mtandao wa Discord umewafanya nini?

    Labda matapeli
  12. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Najilaumu kutokununua ardhi Mbezi Kimara kipindi hicho

    Ndio na ni kweli na sio story
  13. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Najilaumu kutokununua ardhi Mbezi Kimara kipindi hicho

    Acha kudanganya watu,mie nilinunua kiwanja mita 30 kwa 30 kibamba kwa sh 900,000 na hiyo ilikua mwaka 1999 iweje mwaka 2005 iwe sh 50,000 na kimara?
  14. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Marekani imetangaza kujiondoa katika kambi za kijeshi za Qatar, Bahrain, Kuwait, Iraq, Jordan, Umoja wa Falme za Kiarabu, Syria,

    Yaani uko kwenye vita halafu upunguze askari?,mbona haiadd up?
Back
Top Bottom