Recent content by Jephta2003

  1. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Boda boda unatoboa,kuna jirani yangu ni bodaboda kajenga kajumba ka vyumba viwili,hivyo ni zaidi ya kula kama alivyosema muanzisha uzi
  2. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Sasa hujafanya sex mwaka na hamu ulikua unapata ili upate nini haswa?
  3. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Fundi anataka milioni 1.2 kuezeka nyumba ya vyumba vitatu

    Tafuta fundi Mwanza wanabei poa sana,gharama ya wewe kumleta tu kuondoka anajigharamia mwenye,kwa nyumba kama hiyo kwa fundi wa Mwanza ni sh 500,000 tu,mtafute huyu anaitwa Kwilasa no 0753581808,mwakbie no nimepewa na jamaa wako wa Luguruni Kibamba
  4. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Bud light ni tamu sana aise nimechelewa sana kujua hili.

    Hii ni bia au soda?
  5. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kulipia Netflix out of curiosity

    Na kwa tv kwa single user bei ni hiyo hiyo au hii ni kwa simu tu
  6. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kwanini mume wa Dkt. Tulia (Dkt. James Andilile) alitumbuliwa, ikiwa mafuta yanapanda bei namna hii?

    Yule wa Tulia alipandisha sh 1,000/ nzima,huyu wa sasa kapandisha sh 200 mpaka 300 huoni tofauti hapo
  7. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Yanafanana sana na mafuta ya taa,tumia kuyapikia yatafaa
  8. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Na Marekani mafuta yamepanda,na wao hawako salama
  9. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Chai,mlinzi hawezi mchoma mfanyakazi mwezake
  10. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Thinking far: Kutangaza uwepo wa COVID-19 ni mkakati wa kutengeneza matukio?

    Covid ipo usibishe bwana
  11. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Ndege zinazostaafishwa huwa zinapelekwa wapi?

    Hili ni swali zuri sana. Mataifa kama Marekani na Urusi yana mfumo maalumu wa kushughulikia ndege ambazo zimefikia kikomo cha muda wake wa kufanya kazi (retirement). Badala ya kuzitupa tu kama chuma chakavu cha kawaida, kuna taratibu kadhaa zinazofuatwa: 1. "The Boneyard" (Makaburi ya Ndege)...
  12. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Industrial Engineering Management ya Mzumbe University tunakosa ajira

    Kwenye taaluma ya Industrial Engineering and Management (IEM), mhitimu anakuwa na mguu mmoja kwenye upande wa uhandisi (Engineering) na mguu mwingine kwenye upande wa usimamizi (Management). Hapa kuna uchambuzi wa jinsi ya kumwita mtaalamu huyu: 1. Kitaaluma: Ni "Engineer" Mtu anayesoma kozi hii...
  13. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Kilichomkuta baba yangu miaka kadhaa iliyopita kisa kuvaa kanzu bila nguo ya ndani, soma ujifunze kitu

    Chai hii,paka hua havamii tu kwa kuona,pia na harufu inahusika
Back
Top Bottom