Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,952
- 147,829
Unavibonda tu,unavisonga kama ugali,visiwe na majimaji,,Kumbe! Au ishu ni mafuta mapya🤔
Nilivibonda bonda au niwe nablend?
Ukiweka mwanzo Kwa mafuta mapya vinashika Kwa chini na kuvurugika,