Aisee,mimi huwa siweki fwedha mbele,huwa siingii kwa gear kubwa mwanzoni..namuingia mwanamke kutokana na jinsi alivyo..hata kama mtu wa dini nitaanza naye kidini dini hivyo hivyo.Ila siku akijichanganya kunitunuku,mimi ni kama Comodo dragon,nikikung'ata hata mara moja,bhaas tena,ndo ushakuwa...
Mkuu,hapa utashambuliwa sana,imani ya mtu katika dini fulani inaathiri sehemu ile ya ubongo inayoathiriwa na uraibu wa madawa ya kulevya..so una mlima wa kupanda ili watu wakuelewe.
Mimi nilishangaa sana kuja kusikia kwamba Italy ni nchi ya tatu kwa low rates za ufungaji ndoa.Waliotuletea haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.