Aisee,mimi huwa siweki fwedha mbele,huwa siingii kwa gear kubwa mwanzoni..namuingia mwanamke kutokana na jinsi alivyo..hata kama mtu wa dini nitaanza naye kidini dini hivyo hivyo.Ila siku akijichanganya kunitunuku,mimi ni kama Comodo dragon,nikikung'ata hata mara moja,bhaas tena,ndo ushakuwa...